Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,907
Kwa wazazi, je ni sahihi kumnunulia binti yako wa miaka 14-15 simu hizi za kisasa huku bado anasoma?
Naomba kujua mawazo yenu, je ni sahihi na kama sio sahihi pia kwa sababu gani?
Ahsante.
Naomba kujua mawazo yenu, je ni sahihi na kama sio sahihi pia kwa sababu gani?
Ahsante.