Hakuna kitu kibaya kama simu hizi, nawapa ushauri wa bure tu hakuna kumpa simu mtoto wa kike hasa hizi smart phone, najuwa unaweza kuitwa mshamba na majina kibao ila kwa kiasi utakuwa umefanya juhudi japo sio solution 100% lakini kama mzazi utakuwa umemsaidia mtoto kwa kiasi kikubwa. Mimi binafsi sijampa simu na kisha zoea hiyo hali tu iko siku atanishukuru tu japo kwa sasa anaweza kuniona kama kikwazo kwake siku atajuwa na yeye akija kupata watoto atajuwa njia sahihi. sio kila wanachotaka watoto wapewe wakati mwingine sema NO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.