happy amos
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 251
- 434
Iko hivi nimekua katika ugomvi wa mda mrefu na mwenzangu( mume) bila kupata suruhu
Maumivu ni makali hasa dharau ndani mtu kuwa na wanawake hadharan Wala hajali hata ukilia unaoneka unampigia kelele tu. Nimeamua kurudi nyumban kwanza kupumzika.
Ninawiki sasa nataka nirudi kwangu ila nikapange chumba sababu ninabiasharaa uko na nimefungua, pia ninamtoto nadhan trh 19 anafungua shule.
Ninavikoba marejesho ya kutosha natakiwa ada mtoto akifungua shule, maana sio mtoto wake, je nikiendelea kukaa nyumban haya mahitaji nitafanyaje?
Nawaza nitoke na godoro nyumban nikapange tu Ili niendelee kujipatia mahitaji
Maumivu ni makali hasa dharau ndani mtu kuwa na wanawake hadharan Wala hajali hata ukilia unaoneka unampigia kelele tu. Nimeamua kurudi nyumban kwanza kupumzika.
Ninawiki sasa nataka nirudi kwangu ila nikapange chumba sababu ninabiasharaa uko na nimefungua, pia ninamtoto nadhan trh 19 anafungua shule.
Ninavikoba marejesho ya kutosha natakiwa ada mtoto akifungua shule, maana sio mtoto wake, je nikiendelea kukaa nyumban haya mahitaji nitafanyaje?
Nawaza nitoke na godoro nyumban nikapange tu Ili niendelee kujipatia mahitaji