Je, ni sahihi kwa waislamu kufunga barabara kisa wanaswali?

Kariakoo kuna mitaa zaidi ya mia kinachofanya ung'nga'nie kupita hio mitaa mitano wanaoswali waislamu ni kipi! Km sio ukorofi wako.
unajua matumizi bora ya barabara? Barabara si sehemu ya kufanyia ibada wala biashara utasababisha kero kwa wapita njia. Ni matumizi mabaya ya mipango miji
 
Mungu gan anaabudiwa kwa fujo na kukwamisha shughuri za watu? Mjifunze jmn hii nchi sio ya kidini, msiwafanye na wasioamini dini zenu wakose raha ama kukwamisha shughuri zao kisa upumbavu wenu.
Mimi siyo muislamu, lakini Mungu anayetupa uhai, afya na riziki ana stahili kuabudiwa kwa namna yoyote ata ikibidi kusimamisha shughuli zote za kibinadamu.
 
Ni upuuzi na ushamba wa kifikra kwa waumini wa hii dini ya mwarabu!!waafrika dini zinatufanya tunakuwa Mazuzu mnoo hadi inashangaza!!
 
Point yako Haina mashiko kwa maan hata hizo kelel za gitaa na mahubir utaamua kutosikiliza Ila utaskia ... Lakin kufunga Barbara kwa mda unawez kuamua kupita ROUTE nyingine
Unajua hesabu na nguvu zitakotumika kubadili uelekeo ili kutafuta njia nyingine uendelee na safari? Pia kuna suala la kupoteza muda kulikoathiriwa na umbali kufika pointi ya safari. Hayo ni matumizi mabaya ya barabara kugeuzwa matumizi mengine si uungwana ni mazoea mabaya yaliyokita katika jamii yetu kutoheshimu sheria za mipango miji ndio maana barabara zinaweza kugeuzwa soko la kuuzia bidhaa mbalimbali kwa ujuha huu huu wa kufunga barabara hii si akili ni matope
 
Naona wewe ndo wale vipofu wa imani...uko tayari kukosoa imani za wenzio kuliko kuona imani yako inavyosumbua Wengine...
Daladala hujui zinabeba wagonjwa wasiotaka kelele... unaelewaa maana ya noise pollution??unatetea magitaa unajua watu wanaokesha makazini wanaohitaji kulala bila kelele iwe mchana au usiku??...

Unakuja kutetea kitu hakiteteeki...
Barabara hizo zinafungwa Kwa dakika chache na watu Wana options za kupita njia zingine ... traditions zipo for decades....toka Daresalaam ina watu laki mbili Hadi Leo ina watu milioni 5
.hutaki au unataka itabaki hivyo...
acheni kufunga barabara badilikeni. Halafu sitetei imani ambayo inakera wengine Mungu huyuko hukn. Mungu ni wa utaratibu na mipango.
 
acha upuuzi we mfia dini, hii nchi si ya kiislam, hizo barabara zinatumiwa na watu wengi wenye dini tofauti. Kwa nini waswali mabarabarani wakati majumba yao ya kuswalia yapo? Haipendezi huo ni ukorofi
Basi jiuwe ili tujue umekasirika nyinyi wachungaji wenu wanapo kuwa wanatupigia kelele ndani ya mabasi eti wanahubili hayo mabasi ni ya kidini?
 
christian gani mpuuzi hivyo? We unaona ni sawa kufunga barabara zinazotumiwa na watu wengi tena wa imani tofauti katika nchi ambayo haiongozwi kwa misingi ya dini hiyo? Unaona ni kawaida na sawa kuchelewesha wapitaji kuwahi shughuli zao, halafu unajiita christian, shame on you
Jitie kidole unuse ili tujue kweli umekasirika sio kututolea mapovu hapa.
 
Mpuuzi wewe utoke Kilimanjaro ukute watu wanasali kkoo uanze kulalamika..
Wakati wanaoishi hapo kkoo hawajawahi kulalamika.....
Uje kkoo mtu mzima ukute tradition ya miaka zaidi ya 50 uanze kulalamika leo
...Hata ikiwa Tradition ya Miaka 100, Kwa Nini SHERIA NA KANUNI za Miji yetu Hazikuweka Loophole ya kwamba Barabara zitakiwa Kuwa Safi ili Kila Mtu awe Huru kuzitumia LAKINI Siku ya Ijumaa zitafungwa Kwa SAA MOJA kupisha Waisilamu Kuswali !!...
 
Basi jiuwe ili tujue umekasirika nyinyi wachungaji wenu wanapo kuwa wanatupigia kelele ndani ya mabasi eti wanahubili hayo mabasi ni ya kidini?
mahubiri ya kwenye mabasi huwa unayakazia masikio? Vaa headphone usikilize kama unaona kero. Usilinganishe na kufunga barabara ni matumiza mabaya ya njia
 
wacha ujinga, makanisa yanazingatia kanuni za mazingira hawapigi loud speaker wanajua nje kuna watu watakereka, kiwango cha sauti kiko chini sana kiasi cha kutokera watu wasipenda sauti hizo. Mbona maspika ya adhana yana loud sound watu wasiopenda kelele hizo wanayavumilia? Unakuta uko mji fulani ikifika adhana mji mzima ni kelele tupu kana kwamba nchi ni ya kiislam. Kufunga barabara ni kero kuliko magitaa ya mkesha
Kiufupi ww jamaa ni mpumbavu na umejaa chuki, yaani kufunga mtaa kwa dakika 40 ni kelo kuliko kupingia watu watu kelele usiku kucha na masipika?
Narudia tena ww ni mpumbavu tena wa kiwango cha rami.
Njia pekee ya kuacha kukeleka ni ww kujiua maana pamoja na chuki zako huna uwezo wa kubadilisha chochote ,waislam wataendelea kufanya ibada zao popote wanapo pataka na hutokuwa na chochote cha kuwafanya.
 
Shame on you...hiyo mitaa inafungwa for decade now wewe tatizo lako liko wapi...
Nikija Moshi wakati wa Christmas nikianza kusema wachaga wanapiga kelele hii nchi sio ya kichaga wala ya kikristo si ni ushari?

Au nije niseme haki za wanyama..serikali izuie kuchinja mbuzi ....

Waislam Kkoo ni traditions msikiti ukijaa wanasali nje...kama ambavyo nyinyi siku za Xmas mnasali Hadi nje ya makanisa na hakuna anaelalalmika....kibaya zaidi nyinyi wala sio watu wa kkooo...zaidi ya chuki kusambaza mitandaoni
Halafu sio Kariakoo tu, ni maeneo mengi tu hata ambayo waislamu sio wengi kiasili.

Ushauri

Bakwata watafute maeneo makubwa pembezoni wajenge misikiti kuliko kung'ang'ania katikati ya Miji .
 
Barabara ikifungwa kwa ajili ya msiba au sherehe hauna tatizo, ila kwa ajili ya Mungu unatoko povu. Chunguza dhamiri yako kwa karibu, uone kama wewe si wakala wa shetani au shetani mwenyewe
wakala wa shetani ni wewe, Mungu gani huyo anayevuruga mipango miji? Matumizi ya barabara si kufanyia ibada au kuuzia bidhaa huo ni uwendawazimu. Mungu ni wa utaratibu na mipango
 
Labda waislam wapole sana mmeanza kuwapanda kichwani...
Kuna mitaa inafungwa Kwa vigodoro hamuoni shida ...lakini ikifungwa watu wasali mnaanza chokochoko...wanafunga kkoo wewe wa Kilimanjaro unaanza kusambaza chuki mitandaoni...
Unataka useme wenye utamaduni wa kucheza vigodoro ni wakristo ?

We mzee itakuwa unadata sasa au unatafuta sifa kutoka kwa waislamu mpaka unasahau yupi ndiye nwenye asili ya vigodoro.
 
Usinipe sifa ambazo sina, waislam nawapenda sana, ni ndugu, jamaa na marafiki zangu, sina shida nao. Nawapenda sana hasa wanawake na mabinti zao wanavyojisitiri kwa ile mitandio yao. Yako mengi mazuri ninayopata toka kwa waislam, ikiwezekana nitapata mke huko. Hoja yangu ni kufungwa barabara zinazotumiwa na watu wengi ni kero kwa wengine
Acha unafiki kimtokacho mtu mdomoni ndo akiwazacho moyoni kwani nani asiye kujua ww kuwa huwa unashinda humu ukiongea upuuzi juu ya waislam?

Kiufupi ww ni mtu uliye jaa chuki dhidi ya waislam na unajulikana acha kujipendekeza.
 
Back
Top Bottom