Mathematic
Member
- May 15, 2011
- 56
- 2
Wana Jamii, kwa jinsi nijuavyo mimi ni kwamba Rais wa nchi fulani anapotembelea nchi nyingine,protocaly mwenyeji wake anataakiwa awe ni yule Rais mwenzake wa ile nchi anayoitembelea,hivyo hivyo kwa mawaziri ambapo hulakiwa na waziri mwenzake wa nchi anayoitembelea kwa wizara husika. Sasa kilichonishangaza ni kitendo cha Rais wetu kuwa mwenyeji wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani baadala ya kazi hiyo kufanywa na Benard Membe. Au kwa kuwa waziri huyo anatokea nchi tajiri basi akienda nchi kama Tanzania anapewa hadhi ya urais? Nawasilisha.