Je, ni sahihi kumtambulisha Kassim Majaliwa kuwa ni Waziri Mkuu Mstaafu?

Akiteuliwa tena itakuwa ni kwa " mkataba"?
Kipindi cha utumishi wa kiongozi fulani wa serikali ndio muda maalum wa mkataba wake kisheria. Majaliwa mkataba wake kama Waziri Mkuu wa JMT ulikoma jana, hadi hapo Mh. Rais atakapomteua upya.
 
Kudos kwa mfano mzuri, ila kamwe usiweke jina la Mr Mzungu na cheo cha Urais kwenye sentensi moja. Huyo jamaa hafai cheo chochote cha uongozi kwenye nchi yetu. Anaweza kuwa raia kama raia wengine. Period.
Huo ni mfano tu. Acha chuki binafsi.
 
Pia Katiba inajichanganya kwa kusema mara Bunge linapovunjwa Wabunge wanakoma kuwa Wabunge, na bila ubunge mtu hawezi kuwa waziri wala waziri mkuu, ikiwemo Urais!! Yaani Rais nae anakoma kuwa Rais.
Rais sio Mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…