Je ni sahihi hii kauli

Kiswahili kimeharibika tu kwa sasa, hatuongei tena vile inavyotakiwa, angalau hapa jf watu wanakuja na lugha zao mwisho wanajifunza.

Kuna ile mnasema, "nasikiliza nyimbo ya harmonize", yaani wimbo mmoja mtu anasema anasikiliza "nyimbo ya"!
Kiswahili fasaa hapo tuna semaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…