Wajipqnge si LAZIMA kuoa ukishindwa mahari mbona WATU wanaishi kishikaji ishi kishikaji.Kuna wengi wanashindwa kuoa kwa sababu ya hii
Au tafuta chip
Wajipqnge si LAZIMA kuoa ukishindwa mahari mbona WATU wanaishi kishikaji ishi kishikaji.Kuna wengi wanashindwa kuoa kwa sababu ya hii
Bila hata bikra pesa inatoka bwasheeBinti wa watu akutunzie bikra yake halafu uone ubahili kumtolea mahari?
Mahari ya muhimu sana kwenu ni ipi?Kwetu kibosho , kule hatucheki na kima kuna mhaya mmoja alikuja chukua pacha yangu na masifa yake , mbona mpaka leo kaweka heshima🤣🤣
Inategemea mkuu, ila pombe ni ya muhimu zaidiMahari ya muhimu sana kwenu ni ipi?
Nyumba ya kiarabu hakuna hiyooBila hata bikra pesa inatoka bwashee
Hahahaah sawa Mwarabu kokoNyumba ya kiarabu hakuna hiyoo
Yupo jamaa aligoma kutoa mahari akaenda na mke wajiunganisha mbali na familia YAANI ikitokea vikao vya familia yule jamaa haionekani zaidi ya MIAKA 20 hajawahi kanyaga ukweni KISA mahari MPAKA mzee WA MKE alipokufa eti akaenda MSIBANI akipata fedheha ilibidi atoe mahari ya juu na ng'ombe kadhaa kufuta aibu Sasa hivi HATA KWENYE vikao anaudhuria na anajiona bonge la MTU.When the deal is too good think twice. Usipotoa mahari utatombewa mwanamke hadi useme kuoa ni dhambi. Jitahidi utoe hata nusu ya mahari upate japo kaheshma kadogo. Le me put it clear here... Usipotoa mahari yeye ndo atakua spy kwako kutoka kwao. Kila utakacho kuwa unakifanya lazma kwao wajue na mwisho wa cku watakuchana live hadi ushangae kuwa ulioa mwanamke au cctv. Try your best. NIMECOMENT AT MY OWN RISK.
Basi ni kama dhahabu kwa WaarabuInategemea mkuu, ila pombe ni ya muhimu zaidi
Yea hauwezi chukua kifaa uchagani kama haujatoa chakula ya wazee( pombe)Basi ni kama dhahabu kwa Waarabu
Kwa nini ukatae ? Kuna namna unataka kumruhusu kijana maskini akumiliki🤔 uzuri moja wamasi wamenyooka kama sisi wachagaSio lazima
Nilikataa uo uduanzi mpaka leo mi na mzee hatuelewani
Umeelezea kwa uchungu mno, pole sana kwa yaliyokusibu.When the deal is too good think twice. Usipotoa mahari utatombewa mwanamke hadi useme kuoa ni dhambi. Jitahidi utoe hata nusu ya mahari upate japo kaheshma kadogo. Le me put it clear here... Usipotoa mahari yeye ndo atakua spy kwako kutoka kwao. Kila utakacho kuwa unakifanya lazma kwao wajue na mwisho wa cku watakuchana live hadi ushangae kuwa ulioa mwanamke au cctv. Try your best. NIMECOMENT AT MY OWN RISK.
Kama ningeweza rudiaha siku nyumaKwa nini ukatae ? Kuna namna unataka kumruhusu kijana maskini akumiliki🤔 uzuri moja wamasi wamenyooka kama sisi wachaga
Hahaha ndivyo mlivyo wanawake 🤣Kama ningeweza rudiaha siku nyuma
Nisingedate au kuwaza mambo ya material katika date zangu coz ndo mambo ya kuwaza ndoa since first kiss...huenjoy chochote
Ningedate for love....
Mi sikupenda kwanza mambo ya mahari coz niliona namuumiza jamaa
Jambo la mahari limeingiliwa na taratibu zetu na tamaa za wazazi wa mwanamke, ila kwa utaratibu ule wa awali, ingekuwa rahisi sana.Kuna wengi wanashindwa kuoa kwa sababu ya hii