Leo nilikuwa mizunguko yangu ya town, nikasimanishwa na traffic..kaniuliza vitu vingi sana kuanzia lessen. Nilikuwa navyo, mwisho kauliza kadi ya gari ambayo sikuanayo ila mwisho aliomba sh. 5000/ ili aniachie, kupunguza usumbufu nilimpa. SASA NAOMBA ULIZA NI LAZIMA KUTEMBEA NA KADI YA GARI. NA NISIPOKUWA NAYO ADHABU YAKE NI IPI?