Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Habarini wakulu!
Kufanya oral sex ni sawa na kutenda kinyume na maumbile???
Nimeuliza hivi kwa sababu kuna jamaa yangu wa karibu anasumbuliwa na hili jambo kutokana na GF wake hapendi oral sex na kusema haina tofauti na kutenda kinyume na maumbile! Je hii imekaaje na ina ukweli ndani yake?
Kufanya oral sex ni sawa na kutenda kinyume na maumbile???
Nimeuliza hivi kwa sababu kuna jamaa yangu wa karibu anasumbuliwa na hili jambo kutokana na GF wake hapendi oral sex na kusema haina tofauti na kutenda kinyume na maumbile! Je hii imekaaje na ina ukweli ndani yake?