Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,839
Kama ni kweli basi kizazi chetu kina laana.
Wazazi wetu wengi walikua wameanza ngono kabla ya ndoa... Bibi/Babu zetu on the other hand wao ilikua issue kubwa sana kuzini - mana ndo ilikua lugha yao...
Kama ni kweli basi kizazi chetu kina laana.
sijui, ngoja niwaulize....nitarud
Hapana kizazi chetu hakina laana ila watu hawalimi kwenye lami siku hizi!
Wazazi wetu wengi walikua wameanza ngono kabla ya ndoa... Bibi/Babu zetu on the other hand wao ilikua issue kubwa sana kuzini - mana ndo ilikua lugha yao...
Hata kama umeongopewa utaamini. Wazee wetu wote kila mtu anadai alikuwa wa kwanza darasani je nalo unaamini ?YES
Mama kasema, yeye mchumba alitafutiwa na baba yake (babu) wala walikuwa hawajazoeana wakafunga ndoa,
anasema lakini alijifunza kumpenda wakiwa kwenye ndoa na taratiibu akamzoea na kujikuta anampenda AJABU.
Pia amesema tatizo la vijana wa siku hizi wanapenda KUTEST kwanza!
Hata kama umeongopewa utaamini. Wazee wetu wote kila mtu anadai alikuwa wa kwanza darasani je nalo unaamini ?
Ngono ni nn?
ngono ni tendo la kujamiana, au wewe unalipi jipya kuhusiana na ngono?
YES
Mama kasema, yeye mchumba alitafutiwa na baba yake (babu) wala walikuwa hawajazoeana wakafunga ndoa,
anasema lakini alijifunza kumpenda wakiwa kwenye ndoa na taratiibu akamzoea na kujikuta anampenda AJABU.
Pia amesema tatizo la vijana wa siku hizi wanapenda KUTEST kwanza!
wazazi unaowazungumzia hapa ni wapi ? All i can say kizazi tulicho nacho sasa watu wengi wamekuwa na mahusiano ya kimwili kabla ya ndoa
Partner fafanua pleeeeeeze!!!