matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,368
Kuna dada anahadithia,
Mtoto wake huwa halii mara kwa mara ila baada ya mama mmoja kuja kuwatembelea, mtoto kalia kama kaumwa nyoka, kila akimuangalia analia sana, tena kwa hofu na wasiwasi mkubwa.
Binafsi nilisisitizia kuwa wenda ameaona sura ngeni tu, ila bado dada huyo haamini kama yule mama alikuja kiusalama.
Wakuu hizi hisia huwa zinahisia zanukweli ndani yake au mbwembwe zetu tu za huku uswazi maana huko kwa watu wazito hizi kesi huwa hazipo.
Mtoto wake huwa halii mara kwa mara ila baada ya mama mmoja kuja kuwatembelea, mtoto kalia kama kaumwa nyoka, kila akimuangalia analia sana, tena kwa hofu na wasiwasi mkubwa.
Binafsi nilisisitizia kuwa wenda ameaona sura ngeni tu, ila bado dada huyo haamini kama yule mama alikuja kiusalama.
Wakuu hizi hisia huwa zinahisia zanukweli ndani yake au mbwembwe zetu tu za huku uswazi maana huko kwa watu wazito hizi kesi huwa hazipo.