Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,531
- 1,566
kwa kweli siwezi jua ila kuna kipindi nilikuwa maeneo ya kule ilembula njombe, nilishangaa kuona nyumba 1 ya udongo ikikaribia kuanguka, na ilikuwa imezungukwa na mbwa kama 10 mpaka 15, nikauliza hawa mbwa wanafanya nini nikaambiwa ni wa mwenye nyumba hiyo, sasa nyumba yenyewe mvua zikianza sijui kama itapona hawa mbwa wa nini, nikajua kweli hawa mbwa ni kitoweo, wanavyowakamata na kuwachinja hapo sijui, huo ni ufahamu wangu tu
mdesi.