Je! Ni kweli wahehe wanakula mbwa?

Je! Ni kweli wahehe wanakula mbwa?

kwa kweli siwezi jua ila kuna kipindi nilikuwa maeneo ya kule ilembula njombe, nilishangaa kuona nyumba 1 ya udongo ikikaribia kuanguka, na ilikuwa imezungukwa na mbwa kama 10 mpaka 15, nikauliza hawa mbwa wanafanya nini nikaambiwa ni wa mwenye nyumba hiyo, sasa nyumba yenyewe mvua zikianza sijui kama itapona hawa mbwa wa nini, nikajua kweli hawa mbwa ni kitoweo, wanavyowakamata na kuwachinja hapo sijui, huo ni ufahamu wangu tu

mdesi.
 
nasema mbele za mungu wanatoomba ng'ombe machungani hao jamaa. we ulizia vizuri kwao wenyewe watakwambia hasa hao waliozaliwa vijijini. wanakaz ang'ombe mwanangu na ndio nyama hizo tunazokula dsm huko usukumani zimekazwa na kumwagiwa nanilii.
Come join us be a vegetarian.Contact;tzvegetarians.blogspot.com
 
hapa dunian wanyama wote wanaliwa, inategemea wewe umekulia mazingira gani na nyama inayopatikana maeneo hayo. jamii ya wahadzabe wanakula wanyama wote isipokuwa fisi tu, tena nyama ya nyani ndio inaheshimika sana kuliko zote!
Hapa barani Afrika mbwa wanaliwa sana kama kitoweo.Nimewahi kuishi DRCongo huko mlinzi analiwa ile mbaya .Ukiwa na uchu wa kula nyama kule utakula mbwa bila kujua.Pia nina marafiki toka Nigeria waliwahi kunieleza kuwa huko nako mlinzi (mbwa) watu wanapeleka pwani.
 
Back
Top Bottom