Je, ni kweli ugonjwa wa Pangusa usipotibika uume unaweza kukatika na kudondoka chini?

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,721
10,223
Sasa naona magonjwa yanaibuka kila siku.

Nasikia huu ni ugonjwa unaoambukozwa kwa zinaa, na ukichelewa kuutibu kwa mwanaume uume huuathirika na hatimaye kukatika kabisa?
 
Unalika kidogokidogo hadi unaisha alafu mwisho panatokea kashimo mithili ya uke sema kashimo kenyewe kanakuwa ni kidonda kibichi 😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom