Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Bongo mambo mengi sana.
Mkuu wa Wilaya anapeperusha bendera ya taifa na ana power kwenye Wilaya kuliko Mkurugenzi wa Halmashauri yake.
Inasemekana ofisi za maDC hazina hela kabisa kama zilivyo za maDED.
Kwa nini maDC wasipewe hela za kutosha maana ndiyo wawakilishi wa Mh. Rais na hata kimajukumu DC anamzidi DED.
Hi set up ikoje wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa Wilaya anapeperusha bendera ya taifa na ana power kwenye Wilaya kuliko Mkurugenzi wa Halmashauri yake.
Inasemekana ofisi za maDC hazina hela kabisa kama zilivyo za maDED.
Kwa nini maDC wasipewe hela za kutosha maana ndiyo wawakilishi wa Mh. Rais na hata kimajukumu DC anamzidi DED.
Hi set up ikoje wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app