nAPE NI SAWA NA TOU ZA WATOTO
JK ANAMCHEZEA ANAVYOTAKA.
NADHANI HATA HUO UKUU WA WILAYA MASASI ALIPEWA KWA KUKOSA MTU WA KWENDA HUKO
MAANA WANA CCM WENGI WANATAKA VITUO VYA DAR,
HATA HII KAZI ALIYONAYO SASA SIDHANI KAMA KUNA MTU ALIKUWA ANAITAKA ,
CCM WENYE WAMEFANYA UTAFITI WA KISAYANSI NA MATOKEO YAKE WAMESEMA HAWA MVUTO, HIVYO WANAJUA
ANAKUNA MTU ANATAKA KUWASIKILI NGONJERA ZAO,
SASA NANI WAKUFANYA HIYO KAZI KUNYIMA USINGIZI KAMA SIO NAPE MWENYE UCHU NA MADARAKA
ujumbe wangu kwa nape ni huu
UWEZI KUWA SHUJAA KWA KUOKOTA MZOGA (CCM).