Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Ndugu, ule wimbo wa Allykiba ambao unabamba ktk chati za muziki za station mbalimbali za radio hapa Bongo "MAPENZI YANA-RUN DUNIA" natumai mmeusikia/mnaufahamu.. maudhui yake ni wazi yanaeleweka kwani katumia lugha rahisi kuelewa then alivyo viimba si vigeni masikioni or machoni mwetu. hoja yangu hapa ni kutaka kujua juu ya ukweli wa hili jambo, JE NI KWELI MAPENZI YANA-RUN DUNIA? MAPENZI YANA NAFASI GANI KTK MAMBO NA MATENDO YAENDELEAYO HAPA DUNIANI? TUJADILI!