Jamaa mmoja anayejua sana kuchamba watu, simjui kwa jina, nimeikuta hii video akiwasema wa mama wanaopenda kusalandia vijana wadogo wenye umri kama watoto wao waliozaa. yaani BEN TEN alafu wakifika kwenye shughuli wanatapatapa!.
Mdau toa mchango wako..
Mdau toa mchango wako..