Je,ni kweli Lipumba anatumika kuihujumu CHADEMA?

Je,ni kweli Lipumba anatumika kuihujumu CHADEMA?

Noel france

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
1,159
Reaction score
1,054
Kutokana na kauli yake ya kumuomba rais Kikwete aunde serikali ya umoja ya kitaifa. Binafsi naona ni mpango kabambe unaosukwa na CCM kupitia kwa CUF (prof.lipumba) ili kuihujumu CHADEMA.

Hii inatokana na kuwaona CHADEMA kuzidi kuimalika. Kwahiyo wanatumia kigezo cha kutokukamilika kwa wakati katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Ni mtazamo wangu, ila unaruhusiwa kutoa na wakwako ama kuunganisha doti.
 
Kutokana na kauli yake ya kumuomba rais kikwete aunde serikali ya umoja ya kitaifa. Binafsi naona ni mpango kabambe unaosukwa na ccm kupitia kwa cuf (prof.lipumba) ili kuihujumu chadema. Hii inatokana na kuwaona cdm kuzidi kuimalika. Kwahiyo wanatumia kigezo cha kutokukamilika kwa wakati katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania. Nimtazamo wangu, ila unaruhusiwa kutoa na wakwako ama kuunganisha doti.

Hata hiii iliyopo ni ya umoja wa Kitaifa yaani Tanganyika na Zanzibar .Mataifa amawili ya meunganishwa na kutokeza serikali Mbili....moja serikali yake ikifa (Tanganyika) na nyingine ikungana lakini ikibaki na serikali yake (Zanzibar) kwa hiyo hii iliyopo tayari ni serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Labda iwapo alitaka kusema kuwa serikali ya kujumuisha vyama mabalimbali vilivyopo Tanzania hilo sawa lakini halikubaliki kwani huku kutakuwa kuuwa haki ya wananchi kuwa na machaguo Mengi na Maranyingi ni kuongeza gharama tu zisizo za msingi na kuturudisha kulekule kwenye mfumo wa chama kimoja.

Tunacho hitaji ni Tume bora ya Uchaguzi,Katiba Bora inayozingatia maslahi ya wote na siyo kutafuta vyeo kwa ujanja ujanja.
 
!
!
Prof anatumika kitambo tu mbona.....wao wanachotaka ni cheo tu kama alivyopewa Maalim Baaaasi vingine hivi mfano anafanya kazi gani na ana mamlaka gani au Raisi akiondoka yeye anafanya nini hiyo sio juu yenu kujua
 
Kutokana na kauli yake ya kumuomba rais kikwete aunde serikali ya umoja ya kitaifa. Binafsi naona ni mpango kabambe unaosukwa na ccm kupitia kwa cuf (prof.lipumba) ili kuihujumu chadema. Hii inatokana na kuwaona cdm kuzidi kuimalika. Kwahiyo wanatumia kigezo cha kutokukamilika kwa wakati katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania. Nimtazamo wangu, ila unaruhusiwa kutoa na wakwako ama kuunganisha doti.

Muungano wa chadema na CUF ulisha isha kwani?
 
Nimecheka sana jana wakati anatoa kauli yake hiyo kwenye ITV, nikajiuliza serikali ya umoja wa kitaifa kwa vigezo gani?
 
anayeihujumu chadema huyu hapa

[h=2]DR. Slaa: Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria[/h]
Saturday, 14 December 2013 ·

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa mpya baada ya kueleza kuwa kitakapofanikiwa kushika dola kitaruhu Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) kutengeneza mitambo ya kutengenezea pombe aina ya gongo. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Willbroad Slaa, akizungumza na wananchi wa Jimbo la Kasulu Vijijini alisema kama gongo itatengenezwa kwa mitambo maalum itaondoa mianya ya rushwa kwa polisi ambao wamekuwa wakiwakamata wanaotengeneza kwa kificho na kuwafanya vitega uchumi vyao.

"Gongo sasa hivi ni haramu sababu inatengenezwa kwa kificho katika mazingira machafu, tukishika dola tutataka SIDO itengeneze mitambo ya kutengeneza gongo ili iwe katika hali ya usafi," alisema.

Mitambo hiyo itakayotengenezwa na SIDO itakapouzwa itaiingizia mapato serikali pia wauzaji wa gongo watafanya biashara hiyo kwa amani tofauti na sasa ambapo wanaifanya kwa kificho na wakikamatwa fedha zote wananufaika polisi.

Dk. Slaa alisema hata suala la kukamata watu wanaotengeneza silaha linapaswa kuangaliwa upya kwani wanaokamatwa wakifanya kazi hiyo wangekuwa wanashikiliwa kwa muda na baadaye wanapelekwa katika kiwanda cha serikali cha kutengenezea silaha ili watuhumiwa hao wapeleke ujuzi huo huko badala ya kuwafunga jela.

Dk. Slaa alisema matatizo yote yanatokana na wasomi kutofikiri namna ya kuisogea nchi mbele kimaendeleo.

"Nchi hii imelala, imechoka sababu waliopewa madaraka wamelala, wamejisahau hawatambui kuwa wamepewa nafasi hizo ili kuwatumikia wananchi," alisema.


CHANZO: NIPASHE​


 
lipumba aihujumu chadema kwa misingi ipi tuangalie hili jambo linna manufaa gani kwa taifa.yeye kashauri kwa hiyo wahusika wataona kama inafaa au laaa.pia kuna mengi alishuri kipindi cha nyuma kama kufutwa kwa KWA KODI YA KICHWA KODI iliyokuwa na manyanyaso mengi hususani kwa wakazi wa vijijini na ilifutwa na rais mkapa 1998,elimu bure tangu m waka 2000 anashauri swala la elimu bure ccm wamejitahidi kuiga wameweka mpaka kidato cha nne ingawa yeye kasema mpaka chuo kikuuu bure, . lakini wanashindwa kutekeleza ipasavyo sababu sera si yao .elimu bure,afya bure,katiba mpya, tume huru ya uchaguzi,serikali ya umoja wa kitaifa na mengineyo ya po kwenye ilani ya cuf ni vitu vinavyowezekana lakina si kwa ccm ni sawa na baba ameshazeeka kazi hawewzi inabidi aanze kumshirikisha mtoto lakini mtoto usimwachie madaraka yote unaanza kumpa nusu nusu mpaka unamwachia yote.
watu wengi hamumuelewi lipumba lakini ipo siku mtamwelewa tu
 
Hakuna siri ( Ni wazi kabisa ) kwamba anaihujumu CDM
Lipumba aliwahi tamka kwamba kwa ajili ya heshma ya udini ilibidi amnusuru JK 2010 na sasa amekuja na kauli ambayo katumwa na maccm kuisema ili wapate kianzio cha mjadala
 
Kutokana na kauli yake ya kumuomba rais kikwete aunde serikali ya umoja ya kitaifa. Binafsi naona ni mpango kabambe unaosukwa na ccm kupitia kwa cuf (prof.lipumba) ili kuihujumu chadema. Hii inatokana na kuwaona cdm kuzidi kuimalika. Kwahiyo wanatumia kigezo cha kutokukamilika kwa wakati katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania. Nimtazamo wangu, ila unaruhusiwa kutoa na wakwako ama kuunganisha doti.

Wazo la Lipumba ni zuri sana tena ilitakiwa kabla ya kuanza kwa mchakato wa katibu, iundwe serikali ya mseto kusimamia mchakato huu ili ipatikane katiba ya watanzania wote tofauti na sasa ambapo tunaenda kupata katiba inayowakilisha mawazo ya Watanzania 6,000 ambao ni wanachamba wa CCM
 
Kwa watu wenye akili,watakuwa wanaelewa nini malengo ya huyu prof.Basi ni kwa vile kanuni usomi zinakataza mtu kuongea kwa hisia tu.Mtu mzima hajifichi kwenye shamba la karanga

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
kp16122013.jpg
 
Kwanini Chadema tumegeuka kuwa kundi la watu wenye hofu wakati wote na tunaohisi kwamba watu wengine wanapanga kutudhuru?This is a form of psychological disorders which is known as PARANOIA & NEUROSIS.We need to consult a doctor,seriously!This is not normal.
 
Wazo la Lipumba ni zuri sana tena ilitakiwa kabla ya kuanza kwa mchakato wa katibu, iundwe serikali ya mseto kusimamia mchakato huu ili ipatikane katiba ya watanzania wote tofauti na sasa ambapo tunaenda kupata katiba inayowakilisha mawazo ya Watanzania 6,000 ambao ni wanachamba wa CCM

kwani ufahamu kama ccm imeidandia hoja ya katiba mpya,kutoka kwa wapinzani? Kwaiyo kila linalotokea tunafahamu ni msukumo anaoupata kikwete kutokana na presure ya wahitaji wa katiba mpya. Alafu unaposema ccm haiwezi kutuletea katiba mpya bila kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa,je unatakakusema endapo cdm ingechukua nchi inamaana ingeshindwa kutekeleza ahadi yake ndani ya siku 100 ya kutupa katiba mpya. Tafadhari mkuu usikubali wakushikie akili,ila tambua ccm inawaia vigumu kwa sababu wao awakuwa na mchakato wa katiba mpya kwenye ilani yao.
 
kwani ufahamu kama ccm imeidandia hoja ya katiba mpya,kutoka kwa wapinzani? Kwaiyo kila linalotokea tunafahamu ni msukumo anaoupata kikwete kutokana na presure ya wahitaji wa katiba mpya. Alafu unaposema ccm haiwezi kutuletea katiba mpya bila kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa,je unatakakusema endapo cdm ingechukua nchi inamaana ingeshindwa kutekeleza ahadi yake ndani ya siku 100 ya kutupa katiba mpya. Tafadhari mkuu usikubali wakushikie akili,ila tambua ccm inawaia vigumu kwa sababu wao awakuwa na mchakato wa katiba mpya kwenye ilani yao.

CDM walimaanisha ndio maana wakaweka kwenye Ilani, CCM wamedandia ili kuweka vipengele vya kuwalinda. Ndugu zetu wa Kenya hawakuweza kupata katiba walipokuwa na serikali ya chama kimoja lakini iliwezekana pale kulipokuwa na serikali ya mseto
 
Hata hiii iliyopo ni ya umoja wa Kitaifa yaani Tanganyika na Zanzibar .Mataifa amawili ya meunganishwa na kutokeza serikali Mbili....moja serikali yake ikifa (Tanganyika) na nyingine ikungana lakini ikibaki na serikali yake (Zanzibar) kwa hiyo hii iliyopo tayari ni serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Labda iwapo alitaka kusema kuwa serikali ya kujumuisha vyama mabalimbali vilivyopo Tanzania hilo sawa lakini halikubaliki kwani huku kutakuwa kuuwa haki ya wananchi kuwa na machaguo Mengi na Maranyingi ni kuongeza gharama tu zisizo za msingi na kuturudisha kulekule kwenye mfumo wa chama kimoja.

Tunacho hitaji ni Tume bora ya Uchaguzi,Katiba Bora inayozingatia maslahi ya wote na siyo kutafuta vyeo kwa ujanja ujanja.

nikweli mkuu.hapo nilipo pigia mstari ndio tunachokihitaji.
 
Back
Top Bottom