Kwa magari ni tofauti kama ilivyo kwa paka. Wengi wetu tunaogopa paka mweusi kuliko mweupe. Paka mweusi anaaminika zaidi kuwa mchawi kuliko paka mweupe.Gari nyeupe haivutiii, kwaaajili ya maskini hata ukipiga puti unaweza kuendelea na safari bila kupaka rangi na pia ni bei rahisi.
Sent using Jamii Forums mobile app