Je, ni kweli kwamba Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
943
4,458
Wazaliwa wa Zanzibar wanapenda sana kujiita wazanzibari ila Wazaliwa wa Tanganyika wanakatazwa na wazazinzibar kutukuza Utanganyika.

Marais wote wamekuwa wakijiita watanzania isipokuwa awamu hii ndipo hoja ya kimantiki ilipojitokeza kwa kujitambulisha kwa Uzanzibari

Hali hiyo imepelekea pia wanasiasa wa Tanganyika nao kuanza kujitambulisha kwa utanganyika wao na kuanza pia kuzionea wivu mali za Tanganyika kama ambavyo rasilimali za Zanzibar zinalindwa kwa nguvu kubwa.

Je, si wakati muafaka sasa kutungwa kwa sheria inayokata viongozi wakubwa kujitambulisha kwa maeneo wanayotoka?

Je, si sahihi sasa viongozi wa ngazi ya muungano kukemewa kujinasibisha na upande wa kuzaliwa? Nani atakuja kufuta kauli kwamba MIMI NI MZANZIBAR?
 
Yaniii, ndio nipo na mimi hapa nashangaa.

IMG_6769.JPG
 
Wazaliwa wa Zanzibar wanapenda sana kujiita wazanzibari ila Wazaliwa wa Tanganyika wanakatazwa na wazazinzibar kutukuza Utanganyika.

Marais wote wamekuwa wakijiita watanzania isipokuwa awamu hii ndipo hoja ya kimantiki ilipojitokeza kwa kujitambulisha kwa Uzanzibari

Hali hiyo imepelekea pia wanasiasa wa Tanganyika nao kuanza kujitambulisha kwa utanganyika wao na kuanza pia kuzionea wivu mali za Tanganyika kama ambavyo rasilimali za Zanzibar zinalindwa kwa nguvu kubwa.

Je, si wakati muafaka sasa kutungwa kwa sheria inayokata viongozi wakubwa kujitambulisha kwa maeneo wanayotoka?

Je, si sahihi sasa viongozi wa ngazi ya muungano kukemewa kujinasibisha na upande wa kuzaliwa? Nani atakuja kufuta kauli kwamba MIMI NI MZANZIBAR?
Hebu ndugu zanzgu Watanganyika wacheni Ullimbukeni na Upoyoyo.
Kama Nyerere aliwaroga , poleni sana .Wakati wa kupata ponyo ya gonjwa lenu umefika.
UTAIFA HUWA AHUFUTIKI
Mayahudi wameishi miaka 2000 bila kuwa na Nchi maalumu. Lakini Utaifa wao haukufutika, unasomeka hadi leo.
Wazanzibar tumeenea dunia nzima tukiwa wa Mataifa mchanganyiko, wakiwemo Wahindi, Waarabu, Wachina, Waafrika, na Wazungu wachache.

Bado kila tulipo tunajinasibu na Utaifa wetu.
Hivi nyinyi mulipatwa na nini mukajiita Watanzania badala ya Watanganyika?
Tanzania ni Taifa la kufikirika kama ilivyokuwa USSR au European Union au UAE nk.

Hii ni jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama ilivyo kwenye makubaliano ya Muungano.
Jina Tanzania lilitoholewa baadae na Mwlm Nyerere kwa Ujanja wake wa kutaka kuifuta Zanzibar .
 
waZanzibar et wanatuzidi ujanja wanaijua nchi yao ss hatuijui. Hata kutaja jina tunashindwa kutaja TANGANYIKA tunasema TANZANIA hata tunatia aibu. Kuanzia leo mm ni MTANGANYIKA niulize popote nitajibu. Kwa swala la Muungano ni MTANZANIA
 
waZanzibar et wanatuzidi ujanja wanaijua nchi yao ss hatuijui. Hata kutaja jina tunashindwa kutaja TANGANYIKA tunasema TANZANIA hata tunatia aibu. Kuanzia leo mm ni MTANGANYIKA niulize popote nitajibu. Kwa swala la Muungano ni MTANZANIA
Ila Muungano urekebishwe
 
Back
Top Bottom