NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Habari wakuu
Nimepata fununu kuwa kuna tafiti mbalimbali zinazobainisha kuwa watu wenye kundi O la damu huwa WAGUMBA au uzazi kwao ni nadra sana.
Nasikia kuwa hata wakipata watoto huwa hawazidi 3.
Sisi wenye kundi hilo la damu ndio tunaujua ukweli hivyo naomba shuhuda zenu.
Je, hili suala ni la kweli?
Nimepata fununu kuwa kuna tafiti mbalimbali zinazobainisha kuwa watu wenye kundi O la damu huwa WAGUMBA au uzazi kwao ni nadra sana.
Nasikia kuwa hata wakipata watoto huwa hawazidi 3.
Sisi wenye kundi hilo la damu ndio tunaujua ukweli hivyo naomba shuhuda zenu.
Je, hili suala ni la kweli?