Je, ni kweli kuwa ndoto ni reflection ya future ya mtu?

apprentice1997

Senior Member
Jun 8, 2016
107
99
Habarini wadau, Mimi ni kijana wa miaka 19, kwa miaka mi3 mfululizo nimekuwa nikijihusisha na kufanya ubunifu wa mambo mbalimbali yanayosaidia jamii nimebahatika kushindanishwa katika mashindano mbalimbali na kushinda.

Ni wiki chache toka niote ndoto ambayo niliifurahia. Niliota nilikuwa nikihutubia watu mbalimbali wakubwa na wenye vyeo nchini MTU pekee ninayemkumbuka ni Paul makonda ambaye alikuwa moja ya wageni katika hafla hiyo nakumbuka niliongea mambo ambayo yaligusa watu wengi na baada ya kushuka jukwaani makonda alinifuata na kunikumbatia na kuniuliza kuwa niliwezaje kufanya mambo mbalimbali katika umri wangu huu Mdogo na watu wengi wakatamani kunisaidia.

Kwangu Mimi Hii ndoto niliiamini na ninaamini ni moja ya njia mungu anayotumia kuwasiliana nami na kunijuza kuwa siku moja ninaweza kukutana na watu mashuhuri duniani. Ningependa je ndoto kama hii ina ukweli wowote ndani yake nikilinganisha na shughuli zangu za kilasiku? Na je kama ni moja ya ishara za mungu nifanye vipi niweze kufanikiwa kuwa MTU yule ambaye ndoto hii inajaribu kunielezea.

Naombeni na ushauri mwingine wowote unaweza kufaa. Asante

Cc mshana jr Heaven Sent DIVINE
 
Habarini wadau, Mimi ni kijana wa miaka 19, kwa miaka mi3 mfululizo nimekuwa nikijihusisha na kufanya ubunifu wa mambo mbalimbali yanayosaidia jamii nimebahatika kushindanishwa katika mashindano mbalimbali na kushinda.

Ni wiki chache toka niote ndoto ambayo niliifurahia. Niliota nilikuwa nikihutubia watu mbalimbali wakubwa na wenye vyeo nchini MTU pekee ninayemkumbuka ni Paul makonda ambaye alikuwa moja ya wageni katika hafla hiyo nakumbuka niliongea mambo ambayo yaligusa watu wengi na baada ya kushuka jukwaani makonda alinifuata na kunikumbatia na kuniuliza kuwa niliwezaje kufanya mambo mbalimbali katika umri wangu huu Mdogo na watu wengi wakatamani kunisaidia.

Kwangu Mimi Hii ndoto niliiamini na ninaamini ni moja ya njia mungu anayotumia kuwasiliana nami na kunijuza kuwa siku moja ninaweza kukutana na watu mashuhuri duniani. Ningependa je ndoto kama hii ina ukweli wowote ndani yake nikilinganisha na shughuli zangu za kilasiku? Na je kama ni moja ya ishara za mungu nifanye vipi niweze kufanikiwa kuwa MTU yule ambaye ndoto hii inajaribu kunielezea.

Naombeni na ushauri mwingine wowote unaweza kufaa. Asante

Cc mshana jr Heaven Sent DIVINE

Hongera lakini ngoja Mshana jr aje
 
Inategemea ila ni kweli.. ndoto sometimes zipo ilikuulinda mwili usidhurike ukiwa katika hali ya kutojiweza..
ndoto inaweza kuwa kama triggers kwa ajili ya kuunganisha akili na viungo vya mwili ili kuweka usahihi

Aghr... bana kasome mambo mengine ni magumu kuelezea.
 
Ndoto sio kitu strange. Na haitokei kwa wanadamu tu. Mbwa na Dolphins kuna ishahidi wa kisayansi kuwa nao wanaota ndoto.

Ndoto ni effect inayotokea katika Sub Conscious mind katika kupangilia memories ufahamu unapokwepo kwenye REM stage (ulilala kuna Deep stage na REM stage za usingizi). Ni miss information zinapotoka kwenye subconscious mind to conscious mind na consciousness inaziona its real.

Hakuna ushahidi kuwa ndoto inaweza kuwa kweli au isiwe kweli. It depend kwa sababu subconscious mind is powerful it can create an illusion kuwa real.
 
Ndoto sio kitu strange. Na haitokei kwa wanadamu tu. Mbwa na Dolphins kuna ishahidi wa kisayansi kuwa nao wanaota ndoto.

Ndoto ni effect inayotokea katika Sub Conscious mind katika kupangilia memories ufahamu unapokwepo kwenye REM stage (ulilala kuna Deep stage na REM stage za usingizi). Ni miss information zinapotoka kwenye subconscious mind to conscious mind na consciousness inaziona its real.

Hakuna ushahidi kuwa ndoto inaweza kuwa kweli au isiwe kweli. It depend kwa sababu subconscious mind is powerful it can create an illusion kuwa real.

Kuna vitu mnapotaka kuzungumza mjiepushe sana kuweka hitimisho kwani mara nyingi huwa mnaharibu kama si kukosea kabisa.

Kwa mfano umeandika vitu ambavyo huwezi kuvithibitisha.Nakuuliza swali kutokana na kauli yako.Embu thibitisha ya kuwa ni vipi wanasayansi wamethibitisha ya kuwa mmbwa na pomboo wanaota ?

Embu nipe ushahidi unaothibitisha ya kuwa ndoto haiwezi kuwa kweli ?
 
Kuna vitu mnapotaka kuzungumza mjiepushe sana kuweka hitimisho kwani mara nyingi huwa mnaharibu kama si kukosea kabisa.

Kwa mfano umeandika vitu ambavyo huwezi kuvithibitisha.Nakuuliza swali kutokana na kauli yako.Embu thibitisha ya kuwa ni vipi wanasayansi wamethibitisha ya kuwa mmbwa na pomboo wanaota ?

Embu nipe ushahidi unaothibitisha ya kuwa ndoto haiwezi kuwa kweli ?

Hello mkuu.

Next time jaribu kuomba ushahidi na sio kuona kuwa mtu akiongea jambo hana ushahidi. Though its tough mtu kutoa post na kuonyesha ushahidi kila comment mtu akiweka. Lakini ni vyema kuongea facts ili mtu akiomba ushahidi apate.

Mimi ni msomi na siwezi kuongea bila ushahidi ndugu yangu. Let me find something for you. Pia niliwahi kusoma research paper ya mwaka 2013 sina copy online nina PDF.

Katika mada ya kusema ndoto na kweli. KWELI ni nini? Whats makes a perceptive dimension kuwa real?

KWELI ni nini kwanza? I mean what is REALITY?


 
Hello mkuu.

Next time jaribu kuomba ushahidi na sio kuona kuwa mtu akiongea jambo hana ushahidi. Though its tough mtu kutoa post na kuonyesha ushahidi kila comment mtu akiweka. Lakini ni vyema kuongea facts ili mtu akiomba ushahidi apate.

Mimi ni msomi na siwezi kuongea bila ushahidi ndugu yangu. Let me find something for you. Pia niliwahi kusoma research paper ya mwaka 2013 sina copy online nina PDF.

Katika mada ya kusema ndoto na kweli. KWELI ni nini? Whats makes a perceptive dimension kuwa real?

KWELI ni nini kwanza? I mean what is REALITY?



Andiko langu limekutaka kwanza unipe ushahidi tena wa kisayansi.Kutaka kwangu ushahidi inamaanisha kile ninacho kikusudia Nina
Kijua.

Pili,hijajibu swali langu la msingi,je nithibitoshie ya kuwa ndoto haiwezi kuwa kweli ?

Kisha nitakuambia nini maana ya ukweli.
 
Hello mkuu.

Next time jaribu kuomba ushahidi na sio kuona kuwa mtu akiongea jambo hana ushahidi. Though its tough mtu kutoa post na kuonyesha ushahidi kila comment mtu akiweka. Lakini ni vyema kuongea facts ili mtu akiomba ushahidi apate.

Mimi ni msomi na siwezi kuongea bila ushahidi ndugu yangu. Let me find something for you. Pia niliwahi kusoma research paper ya mwaka 2013 sina copy online nina PDF.

Katika mada ya kusema ndoto na kweli. KWELI ni nini? Whats makes a perceptive dimension kuwa real?

KWELI ni nini kwanza? I mean what is REALITY?



Kaka sayansi imejengeka katika misingi mikuu miwili nayo ni nadhari ambayo inakuwa juu ya makisio na majaribio.

Kwa akili ya kawaida leo hii mimi mwenyewe kwa nafsi yangu naweza kukuthibitishia ya kuwa nimeota na kamwe huwezi kujua ya kuwa mimi naota au nimeota bila kukwambia jambo hili kwa binadamu hata waje wanasayansi ma mia kwa mia bila kuwaambia kwamba nimeota hawawezi kuthibisha kama nimeota.

Labda kuwe na maana nyingine ya ndoto.
 
Hello mkuu.

Next time jaribu kuomba ushahidi na sio kuona kuwa mtu akiongea jambo hana ushahidi. Though its tough mtu kutoa post na kuonyesha ushahidi kila comment mtu akiweka. Lakini ni vyema kuongea facts ili mtu akiomba ushahidi apate.

Mimi ni msomi na siwezi kuongea bila ushahidi ndugu yangu. Let me find something for you. Pia niliwahi kusoma research paper ya mwaka 2013 sina copy online nina PDF.

Katika mada ya kusema ndoto na kweli. KWELI ni nini? Whats makes a perceptive dimension kuwa real?

KWELI ni nini kwanza? I mean what is REALITY?



Kumbuka kutoa ushahidi haitoshi.Je ushahidi huo ni wa kweli ?Hilo ndio la kupatiliza.Namaanisha ushahidi huo nao hupimwa.
 
Lazima tukubali kuwa kuna vitu ambavyo hii sayansi ya kawaida inashindwa kuviprove kwa kutumia scientific procedures.
Kuhusu ndoto hapa kuna utata bado. Mimi najishuhudia mwenyewe kuna vitu ambavyo huwa naota kwa muda huo siwezi kuvielewa. Lakini unawezakupita Muda mrefu kikatokea ndiyo naikumbuka picha ambayo niliiota miaka ya nyuma. Ila kwangu mimi nimeshakuwa na uzoefu wa kujua hii ni ndoto ya kweli na hii ni njozi ya kawaida. Ni kutokana na aina ndoto ambazo mara nyingi nimekuja gundua kuwa ni za kweli. Kaa vizuri na ndoto ambazo unaziota ambazo ikiisha tu unashituka na kuanza kuitafakari.
 
Lazima tukubali kuwa kuna vitu ambavyo hii sayansi ya kawaida inashindwa kuviprove kwa kutumia scientific procedures.
Kuhusu ndoto hapa kuna utata bado. Mimi najishuhudia mwenyewe kuna vitu ambavyo huwa naota kwa muda huo siwezi kuvielewa. Lakini unawezakupita Muda mrefu kikatokea ndiyo naikumbuka picha ambayo niliiota miaka ya nyuma. Ila kwangu mimi nimeshakuwa na uzoefu wa kujua hii ni ndoto ya kweli na hii ni njozi ya kawaida. Ni kutokana na aina ndoto ambazo mara nyingi nimekuja gundua kuwa ni za kweli. Kaa vizuri na ndoto ambazo unaziota ambazo ikiisha tu unashituka na kuanza kuitafakari.
Sure unachosema mkuu...ingawa kuna kitu kwenye issue ya memory Kinaitwa "de'ja'vu" ambapo mtu anahisi tukio kuwa lilishawahi tokea nyuma ingawa in real sense halijawahi tokea.Vile vile kuna kitu kinachoitwa IMANI hichi ndicho kinachochukua nafasi kubwa katika doto, kama ukiamini ulichoota kunauwezekano mkubwa kutokea kwasababu utakuwa unaifanyia kazi hio ndoto na ukipuuzia ni marachache kutokea kwasababu hutaifanyia kazi.....
 
Andiko langu limekutaka kwanza unipe ushahidi tena wa kisayansi.Kutaka kwangu ushahidi inamaanisha kile ninacho kikusudia Nina
Kijua.

Pili,hijajibu swali langu la msingi,je nithibitoshie ya kuwa ndoto haiwezi kuwa kweli ?

Kisha nitakuambia nini maana ya ukweli.

Okay. Kabla sijakujibu swali la pili je uneridhika na swali lako la kwanza? Umeelewa ni kwanini kuna ushahidi kuwa ndoto ni hali inayowakuta mammalians?
 
Kaka sayansi imejengeka katika misingi mikuu miwili nayo ni nadhari ambayo inakuwa juu ya makisio na majaribio.

Kwa akili ya kawaida leo hii mimi mwenyewe kwa nafsi yangu naweza kukuthibitishia ya kuwa nimeota na kamwe huwezi kujua ya kuwa mimi naota au nimeota bila kukwambia jambo hili kwa binadamu hata waje wanasayansi ma mia kwa mia bila kuwaambia kwamba nimeota hawawezi kuthibisha kama nimeota.

Labda kuwe na maana nyingine ya ndoto.

I guess sijakupa taarifa yoyote kuhusiana na kuota ndoto ikatokea na science inasemaje kuhusiana na hilo.

Nilisema sio wanadamu tu ambao wanaota ndoto, ukasema nina ushahidi kwa hili? Nikakupa ushahidi kuwa 80% ya wanyama nao wanaota ndoto na 40% ya Reptiles.

Sikutoa ushahidi wa ndoto na future katika sayansi. Bado
 
The mind is a very TRICKY thing. Once you fail to know how it works it is east to be fooled by its cognitive reality.

Sometimes kama vitu hatuvielewi tusikimbilie simple explanations just because hatuelewi. Have a desire to know different sources kabla ya kuweka assumption.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom