Je, ni kweli kuwa kila zahanati nchini ina CT scan kama Wassira anavyosema?

Je, ni kweli kuwa kila zahanati nchini ina CT scan kama Wassira anavyosema?

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wakuu, nimekutana na hii video wakati Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stsphen Wassira akieleza kuwa kila Zahanati nchini kwa sasa ina CT scan.

 
Labda CT scan ya Wassira ana maanisha flat screen ndogo. Hospitali za wilaya na mikoa hazina hiyo CT scan iweje zipatikane zahanati?
 
Wanasiasa sio watu wa kuaminiwa sana
 
Mzee kalambwisi kaona adanganye tu mambo yake yaende, 😁
 
Back
Top Bottom