Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Ni kituko kuilinganisha mwanza na dodomaView attachment 2080213
Hujakosea na ni kituko kweli,kijiji cha wavuvi siku kikifikia hapa mni tag

Screenshot_20220114-102703.png


Screenshot_20220114-102805.png


Screenshot_20220114-102631.png


Screenshot_20220114-102712.png


Screenshot_20220114-102749.png


Screenshot_20220114-102622.png


Screenshot_20220114-102638.png


Screenshot_20220114-102656.png


Screenshot_20220114-102649.png
 
Hili ni jiji la Mwanza watu wa dodoma hebu mtwambie huo ujasiri mliutoa wapi ama thread ifungwe
JamiiForums-1354197556.jpg
 
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:

I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
hivi dodoma nao mji jaman au we mshkaji umeamua tu kuanzisha ligi? kweli ndungu yangu kama una akili timamu dodoma ya kuifananisha na Mwanza? nisiongee sana nawaza nikakufuru.....maana binafs sijawahi mskia mtu akiwa na matamanio ya kuijua dodoma zaidi zaidi wengi wanatamani kuijua Dar, Mwanza na Arusha.
 
Mkuu ni suala la muda maana Dodoma inakuja kwa kasi ya 5G huku Mwanza inachechemea
aliyekuwa anaifanya dodoma ikue ndio amesha pass sasa kwaiyo dodoma itarudi kama zaman? ndio jini pekee linaloongoza kwa ugonjwa wa macho na watu wake kuombaomba! dodoma oyeeeeee
 
mkuu morogoro umefika kweli manake mji haupo pale msamvu bali unashuka chini kule
morogoro hamna mji pale...moro hata kwenye top 10 ya mikoa bomba tanzania hapa haipo, moro ni uchafu mtupu kama lindi tu
 
Back
Top Bottom