Dr Maja
Member
- Aug 23, 2020
- 67
- 72
Habari, wana JF!
Mimi Ni mdogo wenu niliyemaliza kidato Cha sita mwaka huu. Na matokeo ni kama ifuatavyo:
Phy 'A'
Chem 'B'
Bio 'C'
BAM 'B'
Nimesha'apply' kwa MD vyuo vitatu mpaka sasa; MUHAS, UDSM-MUCHAS, na UDOM.
Lakini, napata wasi wasi pale ninaposikia eti ninaweza kukosa na mwenzangu mwenye point 8 akapata. Na kwamba sometimes huwa ni bahati tu! Kwa wale wenye uzoefu, kwa heshima yenu, ni ya kweli hayo?? Au nikutishana tu!
PS: kiukweli inaleta hofu sana kwangu. Nilijua baada ya struggles mpaka kufaulu vizuri, na stress za kusubiri matokea...nitakuwa na amani!
Mimi Ni mdogo wenu niliyemaliza kidato Cha sita mwaka huu. Na matokeo ni kama ifuatavyo:
Phy 'A'
Chem 'B'
Bio 'C'
BAM 'B'
Nimesha'apply' kwa MD vyuo vitatu mpaka sasa; MUHAS, UDSM-MUCHAS, na UDOM.
Lakini, napata wasi wasi pale ninaposikia eti ninaweza kukosa na mwenzangu mwenye point 8 akapata. Na kwamba sometimes huwa ni bahati tu! Kwa wale wenye uzoefu, kwa heshima yenu, ni ya kweli hayo?? Au nikutishana tu!
PS: kiukweli inaleta hofu sana kwangu. Nilijua baada ya struggles mpaka kufaulu vizuri, na stress za kusubiri matokea...nitakuwa na amani!