Je, Ni kweli kuna pesa za freemason?

Je, Ni kweli kuna pesa za freemason?

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
1,152
Reaction score
1,696
Hello,

Mara nyingi nimesikia stori za watu kuwa kuna pesa za freemason,. Ingawa mimi binafsi naona ni utapeli ulioanzishwa na watu hasa mitandaoni ili kutapeli watu.

Je, ni kweli kuna pesa za freemason?
 
Zipo lakini hazitolewi kwa maskini zinq level zake na zinatolewa kwasababu maalum.. NA SIO PESA MBUZI.. Na mtu hapewi kama msaada
 
Zipo lakini hazitolewi kwa maskini zinq level zake na zinatolewa kwasababu maalum.. NA SIO PESA MBUZI.. Na mtu hapewi kama msaada
Naona utapeli ndo umetawala pande hizo, sidhani kama kuna ukweli wowote.
 
Naona utapeli ndo umetawala pande hizo, sidhani kama kuna ukweli wowote.
Freemason ni kaliba ya juu sana inayomiliki pesa za dunia na biashara zote kubwa za kimataifa pamoja na uwekezaji mkubwa kati ya mataifa
Freemason ni watu smart sana na kwao pesa sio tatizo hata siku moja na sio watu wa kujitangaza

Hawa wa mitanfaoni ndio matapeli na waganga njaa
 
Wewe ni msenge kweli jamaa,unaamini kuna pesa za Freemason ambae humuoni.Lakini unashindwa kumuamini Mungu ambae vitabu vinasema alikuumba
 
Wewe ni msenge kweli jamaa,unaamini kuna pesa za Freemason ambae humuoni.Lakini unashindwa kumuamini Mungu ambae vitabu vinasema alikuumba
Yeye hajakutukana, Wala kukushambulia kwa maneno yeye kauliza swali la kiufahamu kwa manufaa ya wengine wanaotaka kufahamu, swali langu kwako kwanini umemtukana?
 
Mimi naomba kuuliza wadau Mimi ni Member mpya je ni kweli Kuna pesa za Kafara naomba kueleweshwa SI kwa matusi
 
Back
Top Bottom