Hii staili ya 'one man show' ifikie kipindi km nchi tuachane nayo badala yake tutengeneze mfumo imara wa kudili na ishu km izo, hii staili ya kila kitu mpaka rais aseme kiukweli sometimes inachelewesha hta maendeleo na inaboa sana kiukweli.Rais akisema ni amri "mfano akisema askari fulani apandishwe cheo" mwenye dhamana sasa ndio aanze kumuandalia taratibu muhusika za kupandishwa hicho cheo"
Kipindi rais anaagiza wananchi wasibughuziwe kwenye mapori ya akiba, hapo sasa (kama ipo sawa lakini) lilitakiwa tamko la maandishe litoke kwa katibu mkuu kiongozi likimuelekeza katibu mkuu wizara ya maliasili, pamoja na katibu mkuu ardhi(kama niko sawa) kutengeneza kanuni au kutoa maelekezo kwenda kwa hao maRC na maDC waache kuwaondoa hao wanachi bali kuwapangia utaratibu, ili wasizidi kuingia ndani zaidi......
Kama kuna waraka uliwaelekeza maRC na maDC kulinda maeneo ya akiba ya hifadhi, basi kuwe na waraka wa kuwaelekeza pia... nao wautiii.