BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,488
- 14,066
Kuna taarifa naiona kwamba IPTL imewasha mitambo na ishazalisha umeme na kuingiza TANESCO, huu ndiyo uhaba uliyokuwa unatengenezwa watu wapige pesa.
Hii migao ni ya kutengeneza watu wapige pesa.
Msinichoshe nisiwachoshe, twende tuone.
Hii migao ni ya kutengeneza watu wapige pesa.
Msinichoshe nisiwachoshe, twende tuone.

