Je, ni kweli ili mtu uendelee kibiashara ni lazima ufanye ushirikina?

Naona unatafuta excuse ya kujiingiza kwenye ushirikina
 
Swali"Je Ndumba au Ushirikina ni nini?" Ukiwa unafahamu maana yake weka hapa then utaelewa kwamba hata huu uzi wako nao ni ushirikina
 
Tofauti na kwenye biashara pia hata kwenye kazi za maofisini lazima uwe na upande, umenikumbusha kitu kikubwa sana kaka ndipo nilijua na kuelewa kuwa maisha ni fumbo kubwa sana.
 
Siyo kweli,bali ni kujiendekeza na tamaa za kijinga.

Mafanikio ya kweli yapo mbali na ushirikina na watu wanafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ