Luqnation Tz
Senior Member
- Jul 1, 2017
- 125
- 56
1 kati ya hizo tajwa hapo juu aidha arts ama science, lakini kupangiwa Comb hakuhusiana na hiyo nukuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


ndo Leo mkuumwezi huu kuanzia tarehe kumi na tatu waambie wazazi waandae fees
unajua maana ya neno kuanzia?
Samahani mkuu mbona tarehe kumi na tatu ishapta na bado hawajatangaza?ni vyema kusikiliza maneno yangu ila si lazima kuniamini
Samahani kaka ila mbona tarehe kumi na tatu ishapita na hawajatoa???mwezi huu kuanzia tarehe kumi na tatu waambie wazazi waandae fees
achana nae uyoo apambane na hal yakeeunajua maana ya neno kuanzia?
kule tupoo elfu 34 uku 2999 sasa apo ndo tunaanza kupmbana na hali zetuuu aki ya munguu

Ama kweli huu much exo hauhitaji hasira![]()
![]()
kule tupoo elfu 34 uku 2999 sasa apo ndo tunaanza kupmbana na hali zetuuu aki ya munguu
![]()
![]()
Bado mbali hivi list yote ilioandikwa kua watakaopangiwa awamu ya pili watapangwa wote
uakika sina ila tuombe mungu tyuyy maana mtaan pagumuBado mbali hivi list yote ilioandikwa kua watakaopangiwa awamu ya pili watapangwa wote
Sent using Jamii Forums mobile app