Je ni kweli CHADEMA imekufa?

Je ni kweli CHADEMA imekufa?

JE NI KWELI CHADEMA IMEKUFA?

Habari ya jioni wadau

Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza sana baada ya kuona nguvu kubwa inayotumika mitandaoni kuaminisha watu kwamba chadema ipo hoi, imekufa, imepoteza mvuto.

Jambo linalonishangaza ni pale napoona mijadala mikali kukashifu chama ambacho tunaaminishwa kimekufa. Ni sawa na wewe kusema jirani yako ni dhaifu hawezi shindana nawe. Afu kila siku unatumia nguvu kupambana na mtu aliye dhaifu.

CCM kama mnatuaminisha CHADEMA imekufa, tunaomba msitumie nguvu kupambana na chama kilichokufa. Hizo nguvu muelekeze katika kufanya mambo ya msingi.

Kama CCM itaendelea kutumia nguvu kupambana na CHADEMA basi ni ngumu kuniaminisha kwamba CHADEMA imekufa
Mlevi wa Mama subiri upewe buku tano udumishe ukilaza wako?
 
gentleman,
atiba ya mazishi na salamu za rambirambi kufuatia kifo cha chadema, muwakilishi wa chademag55, ameahidi kutoa muelekeo katika muda usio kua mrefu, baada ya mashauriana na uongozi, kabla ya kumpumzisha chadema kwenye nyumba yake ya milele,

kwa sasa,
ni muhim kua wastahimilivu na wenye subra katika kipindi hiki kigumu ambacho, ndoto za wanachadema maelfu, nazo zimekufa na kuuawa sambamba na chadema Taifa kwasababu ya uropokaji wa wa kizembe kabisa wa viongozi wasio na maono 🐒
Ona Mlevi wa Mama mwingine hapa!🚮🚮🚮
 
Viongozi wa chadema wanaovaa kama mgambo ,wameanza kudharauliwa na wananchi ,na kila kukicha wanazidi kuonyesha mapembe yao ,ni wazi siasa hawana na hawaijui, wanahisi kusema mpaka ukatokwa na mishipa ya shingo ndio siasa, huwezi kutongoza ikiwa umekasirika ,sasa unapokuwa tokea mwanzo mpaka mwisho unahutubia kwa muonekano na sauti ya hasira , uelewe wananchi huwa hawasikilizi na kuyatia akilini unayowaeleza bali wanavutiwa na namna unavyo rapu ,wanakufurahia wanakupigia makofi ukidhani wamekuelewa kumbe hapana wanashangilia unavyopiga chenga ,mpira ukimaliza watu wanachawanyika wakisifia ulivyosema bila ya kuyapa umuhimu wa kuyafanyia kazi au kuyatekeleza ,
mfano pale Kariakoo kwa kweli ni aibu kusema Chadema inapendwa ,maana sikuona kufuatwa kwa ukaribu na wananchi ,viongozi wakionekana peke yao eti wameshikana kuonyesha mshikamano wakielekea kituo cha polisi au ndio walifanya vile ili wananchi tuseme wanachama nao wajiunge kushikana mikono ,ila hapakuonekana mwanachama wala mfuasi nae kuunganisha mikono ya bega kwa bega,tuseme waliachwa sokoni.
Mwehu wa Mama!
 
Yes,
na chama hicho ndio chadema,
Wamemebaki kuropoka tu,

kiongozi wa msaidizi wake wa uropokaji alikamatwa jana baada ya kuskika akitoa harufu kali na mbaya ya bangi na pombe ikabidi asiwekwe korokoroni 🐒
Msukule wa Mama mwingine huyu hapa!
 
Usinikumbushe mwendazake alipambana na chadema na kutuaminisha imekufa baada ya juhudi zilizotumia mamilioni ya walipa kodi. Lakini naona mpaka leo hela zinatumika kuua maiti
Hili jambo huwa linanishangaza sna napoona mtu mwenye akili timamua anasema cdm imekufa
 
JE NI KWELI CHADEMA IMEKUFA?

Habari ya jioni wadau

Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza sana baada ya kuona nguvu kubwa inayotumika mitandaoni kuaminisha watu kwamba chadema ipo hoi, imekufa, imepoteza mvuto.

Jambo linalonishangaza ni pale napoona mijadala mikali kukashifu chama ambacho tunaaminishwa kimekufa. Ni sawa na wewe kusema jirani yako ni dhaifu hawezi shindana nawe. Afu kila siku unatumia nguvu kupambana na mtu aliye dhaifu.

CCM kama mnatuaminisha CHADEMA imekufa, tunaomba msitumie nguvu kupambana na chama kilichokufa. Hizo nguvu muelekeze katika kufanya mambo ya msingi.

Kama CCM itaendelea kutumia nguvu kupambana na CHADEMA basi ni ngumu kuniaminisha kwamba CHADEMA imekufa
CHADEMA is immortal...

Kuna kiumbe mmoja amewahi kuwa Rais wa Tanzania Sasa ni marehemu na hayati Jina lake alikuwa akiitwa John P. Magufuli...

The guy was a political monster, thirsty of blood of his political opponents...

The time anaingia madarakani tu na kwa jinsi alivyokuwa na chuki na CHADEMA, alikula kiapo kuwa atahakikisha ifikapo 2020, itakuwa imekufa...!

Na kweli alianza kwa kuwavuruga kwelikweli ikiwemo kupiga marufuku shughuli za vyama vya siasa vyote isipokuwa chama chake tu...

Akaanzisha mradi wa kuwahonga na kuwanunua wanachama wenye ushawishi na nguvu wa vyama vya upinzani hususani CHADEMA kwa kuwapa pesa nyingi au kuwahonga madaraka kama watakubali kuingia kwenye "political project" yake waliyoipa jina la "kuunga juhudi..."

Cha ajabu huyu jamaa (John P. Magufuli) hamu yake ya kuua wengine, ilimgeuka kwa kasi ya mwanga NA IKAMUUA YEYE...🤔🤔🤔!!

As we speak, jamaa yupo deep down the soil amekuwa mavumbi...

Hawa nao wanaoombea vifo wenye HAKI na kuwawekea mikakati ya kutimiza mauaji hayo ya kimwili na kisiasa, FOR SURE KABISA WATAKUFA WAO SOONER OR LATER maana Mungu mwenye enzi yote hajawahi kumwacha mwenye haki hata mmoja aangamie...!
 
JE NI KWELI CHADEMA IMEKUFA?

Habari ya jioni wadau

Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza sana baada ya kuona nguvu kubwa inayotumika mitandaoni kuaminisha watu kwamba chadema ipo hoi, imekufa, imepoteza mvuto.

Jambo linalonishangaza ni pale napoona mijadala mikali kukashifu chama ambacho tunaaminishwa kimekufa. Ni sawa na wewe kusema jirani yako ni dhaifu hawezi shindana nawe. Afu kila siku unatumia nguvu kupambana na mtu aliye dhaifu.

CCM kama mnatuaminisha CHADEMA imekufa, tunaomba msitumie nguvu kupambana na chama kilichokufa. Hizo nguvu muelekeze katika kufanya mambo ya msingi.

Kama CCM itaendelea kutumia nguvu kupambana na CHADEMA basi ni ngumu kuniaminisha kwamba CHADEMA imekufa
KOSA KUBWA LILILOFANYIKA, NI KUMKABIDHI MWANAHARAKATI CHAMA, AMBAYE PIA HUWA NI MPINZANI WA UPINZANI
 
Back
Top Bottom