Je, ni kweli CHADEMA hawana fedha za kulipia matibabu ya Lissu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,924
141,891
Mikutano ya kisiasa kwa sasa haifanyiki, ofisi ya makao makuu ya CHADEMA wote tunaijua na gharama za kuihudumia haizidi 10 mil, viofisi vya mikoani vinajulikana havina hata watumishi.

Ruzuku ya CHADEMA inafanya kazi gani hadi wakose fedha za kumlipia Tundu Lissu matibabu yake?

Na huyu Msigwa amenukuliwa na gazeti la Mwananchi kwamba chama kinatafuta sh 550 mil ili wakodi ndege ya kumpeleka Lissu Marekani katumwa na nani mbona tumeambiwa Nyalandu amesema madaktari wamesema Lissu hawezi kusafirishwa kwa sasa kutokana na hali yake! Tuache mambo ya kutafuta fursa kupitia afya za watu, CHADEMA tumieni fedha ya ruzuku ya September kumtibia Lissu fullstop!!
 
CHADEMA wawe na pesa ya kumtibu Lissu au wasiwe nayo, lazima ujue kucheza karata zako za siasa kwa kutumia akili..

(Ndio maana hapo Mtaa wa Lumumba pataendelea kuwa kiwanda cha kuzalisha wapumbavu milele..)

Tukio la Lissu limemgusa kila mtanzania so CHADEMA wakisema watu wachange zitachangwa pesa nyingii tu kama njia mojawapo ya kupinga hili tukio la kidhalimu ambalo suspect ni serikali..

CHADEMA hata kama kusingekuwa na mchangaji, Lissu angetibiwa tu kwa gharama yoyote ile na mahali popote pale duniani. Ila kama njia ya kuionyesha serikali jinsi watu walivyochukizwa na unyama aliofanyiwa Lissu wanawaambia watu wachange, na watu wanachanga bila kulalamika..

Na hili la watu kuchanga linawaudhi sana serikali na CCM ila hamna jinsi la kulizuia..

Jiongeze kidogo kichwani.
 
kwanza umelazimishwa kuchanga au ni kiherehere chako wanaochanga wala hawaongei
 
Ndungai alivyoenda kutibiwa India kwa gharama ya serikali... ni kwamba CCM haikuwa na hela?

Hivi huko shule mmenda kusomea ujinga?
 
Na mimi nitakuuliza swali, Je ni kweli serikali ya CCM haina pesa za kuboreshea miundombinu ya elimu nchi nzima?!
 
Mikutano ya kisiasa kwa sasa haifanyiki, ofisi ya makao makuu ya chadema wote tunaijua na gharama za kuihudumia haizidi 10 mil, viofisi vya mikoani vinajulikana havina hata watumishi. Ruzuku ya Chadema inafanya kazi gani hadi wakose fedha za kumlipia Tundu Lissu matibabu yake? Na huyu Msigwa amenukuliwa na gazeti la Mwananchi kwamba chama kinatafuta sh 550 mil ili wakodi ndege ya kumpeleka Lissu Marekani katumwa na nani mbona tumeambiwa Nyarandu amesema madaktari wamesema Lissu hawezi kusafirishwa kwa sasa kutokana na hali yake! Tuache mambo ya kutafuta fursa kupitia afya za watu, Chadema tumieni fedha ya ruzuku ya September kumtibia Lissu fullstop!!
Wamekusikia.
 
Mikutano ya kisiasa kwa sasa haifanyiki, ofisi ya makao makuu ya CHADEMA wote tunaijua na gharama za kuihudumia haizidi 10 mil, viofisi vya mikoani vinajulikana havina hata watumishi.

Ruzuku ya CHADEMA inafanya kazi gani hadi wakose fedha za kumlipia Tundu Lissu matibabu yake?

Na huyu Msigwa amenukuliwa na gazeti la Mwananchi kwamba chama kinatafuta sh 550 mil ili wakodi ndege ya kumpeleka Lissu Marekani katumwa na nani mbona tumeambiwa Nyalandu amesema madaktari wamesema Lissu hawezi kusafirishwa kwa sasa kutokana na hali yake! Tuache mambo ya kutafuta fursa kupitia afya za watu, CHADEMA tumieni fedha ya ruzuku ya September kumtibia Lissu fullstop!!

mkuu Lissu atakufa Mungu akipenda ila sio kwa hizi dua zako mbaya.
 
CHADEMA wawe na pesa ya kumtibu Lissu au wasiwe nayo, lazima ujue kucheza karata zako za siasa kwa kutumia akili..

(Ndio maana hapo Mtaa wa Lumumba pataendelea kuwa kiwanda cha kuzalisha wapumbavu milele..)

Tukio la Lissu limemgusa kila mtanzania so CHADEMA wakisema watu wachange zitachangwa pesa nyingii tu kama njia mojawapo ya kupinga hili tukio la kidhalimu ambalo suspect ni serikali..

CHADEMA hata kama kusingekuwa na mchangaji, Lissu angetibiwa tu kwa gharama yoyote ile na mahali popote pale duniani. Ila kama njia ya kuionyesha serikali jinsi watu walivyochukizwa na unyama aliofanyiwa Lissu wanawaambia watu wachange, na watu wanachanga bila kulalamika..

Na hili la watu kuchanga linawaudhi sana serikali na CCM ila hamna jinsi la kulizuia..

Jiongeze kidogo kichwani.
Mungu ampe nafuu Lissu ili mtumishi wake Lazaro aweze kumpeleka Marekani!! Hawa Chadema wamsapoti Nyalandu ktk utaratibu huo wa kumhamishia Lissu Marekali waache kukomalia bakuli tu!
 
mkuu Lissu atakufa Mungu akipenda ila sio kwa hizi dua zako mbaya.
Mkuu Mungu hapendi mtu afe labda kama huyo ' mungu' wako ni shetani. Na kwa taarifa yako Lissu ameshakiepuka kikombe hicho, na ndio sababu mtumishi Lazaro amevuviwa roho mtakatifu ili amsimamie!
 
CHADEMA wawe na pesa ya kumtibu Lissu au wasiwe nayo, lazima ujue kucheza karata zako za siasa kwa kutumia akili..

(Ndio maana hapo Mtaa wa Lumumba pataendelea kuwa kiwanda cha kuzalisha wapumbavu milele..)

Tukio la Lissu limemgusa kila mtanzania so CHADEMA wakisema watu wachange zitachangwa pesa nyingii tu kama njia mojawapo ya kupinga hili tukio la kidhalimu ambalo suspect ni serikali..

CHADEMA hata kama kusingekuwa na mchangaji, Lissu angetibiwa tu kwa gharama yoyote ile na mahali popote pale duniani. Ila kama njia ya kuionyesha serikali jinsi watu walivyochukizwa na unyama aliofanyiwa Lissu wanawaambia watu wachange, na watu wanachanga bila kulalamika..

Na hili la watu kuchanga linawaudhi sana serikali na CCM ila hamna jinsi la kulizuia..

Jiongeze kidogo kichwani.
Usijidanganye kwamba tukio la lisu limemgusa kila mtu! wewe unafaidika na tukio hili.....kama bado wahi Nairobi tena beba na mkeo.....michango inamiminika!
 
Ndungai alivyoenda kutibiwa India kwa gharama ya serikali... ni kwamba CCM haikuwa na hela?

Hivi huko shule mmenda kusomea ujinga?
Uamuzi wa kumpeleka Ndugai India haukuwa wa chama kama ilivyokuwa pia kwa Selasini na Zitto. Hili la Lissu chama ndicho kilichoamua kumpeleka Nairobi usichanganye madesa mkuu!
 
Uamuzi wa kumpeleka Ndugai India haukuwa wa chama kama ilivyokuwa pia kwa Selasini na Zitto. Hili la Lissu chama ndicho kilichoamua kumpeleka Nairobi usichanganye madesa mkuu!
Kama chama kiliamua... na kinaomba mchango kwa wanachama wake... na wanachama wameridhia... kwanini watu wasio wanachama wanawashwa kama wastaafu??
 
Kama chama kiliamua... na kinaomba mchango kwa wanachama wake... na wanachama wameridhia... kwanini watu wasio wanachama wanawashwa kama wastaafu??
Hatukatai watu kuchangia, tunachohoji ni chama kimetoa kiasi gani kufanikisha matibabu ya Lissu?!! Najua wewe ni mjumbe pale Ufipa unaweza kulisemea hili!
 
Lissu ni mwanajamii,mwanasiasa,mwanasheria,member wa jumuia za kimataifa,mfuasi wa utawala bora .....

Kila angle anayohusika nayo lazima iwe utilised to the maximum,maximum impact ipatikane kijamii,kisiasa,kisheria,kimataifa,kiutawala bora,tukio la lissu linahitaji maximum impact katika hayo,japo hata yeye mwenyewe angeweza kujilipia
 
Back
Top Bottom