Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Afu ukishajua utafaidika na nini. Pilipili iko shamba we inakuwashia nini?Hatukatai watu kuchangia, tunachohoji ni chama kimetoa kiasi gani kufanikisha matibabu ya Lissu?!! Najua wewe ni mjumbe pale Ufipa unaweza kulisemea hili!
Mi si muumini wa lichama lolote la siasa. Mi ni mwanachama wa Simba Sports Club peke yake.