Kuna ubomoaji unaendelea. Nilimuuliza jamaa mmoja kujua kwanini amebomoa na kurudisha nyuma sehemu yake ya biashara, akasema wamepewa notice ya two weeks, na kusema wameambiwa kuna mhisani amepatikana wa kuipanua. JE KUNA MWENYE DETAILS?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.