kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,461
Hiyo biashara kuna Jamaa kaimundu kitambo ana jina la mchezaji wa zamani wa intarmilan. Ila ana uza Na sembe anamiliki punda kibao. Mkuu alivyo ingia mjengoni alipata misukosuko ila akatoka huko kwenye dalaldala ndiko ana takatisha hela ya sembe. Wengine wanakuja na kupotea