Je, ni kwanini hatuna majaji wengi wanawake?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,601
8,741
Ukienda Law School Tanzania kwenye vyuo kuna wanawake wengi wanafanya vizuri sana. Lakini hata ukienda kwenye kampuni nyingi kubwa kuna corporate lawyers wazuri sana wanawake.

Kuna majaji wengi wanaume tumeona maamuzi yao yanabatiliwa na mahakama ya rufaa. Hivyo tuna majaji wengine ambao sio makini.

Sasa sielewi kwanini kila siku wanachaguliwa majaji wanaume?

1. Je, ni kweli wanachaguliwa ndiyo wanasheria makini kuliko wote?
2. Je, ni vigezo gani hasa wanatumia kuchagua majaji
3. Je, tuna uhakika kwamba majaji wanachaguliwa kwa kuzingatia uwezo na sio utamaduni?
4. Je, haki hasa za wanawake zitazingatiwa vipi kama hatuna uwakilishi wa majaji wanawake.
5. Je, kama kuna mapungufu yapo kwa wanasheria wetu wanawake ni yapi na kuna vitu gani tunafanya kutatua hayo mapungufu?

Mimi ni mwamini wa vipaji lakini siamini kabisa kwamba majaji wana chaguliwa kwa uwezo pekee nafikiri utamaduni dume wetu unachangia. Hizi tamaduni ndizo zinatuletea vilaza. Majaji tunatakiwa kuweka vipanga wetu tu
 
Ukienda Law School Tanzania kwenye vyuo kuna wanawake wengi wanafanya vizuri sana. Lakini hata ukienda kwenye kampuni nyingi kubwa kuna corporate lawyers wazuri sana wanawake.

Kuna majaji wengi wanaume tumeona maamuzi yao yanabatiliwa na mahakama ya rufaa. Hivyo tuna majaji wengine ambao sio makini.

Sasa sielewi kwanini kila siku wanachaguliwa majaji wanaume?

1. Je, ni kweli wanachaguliwa ndiyo wanasheria makini kuliko wote?
2. Je, ni vigezo gani hasa wanatumia kuchagua majaji
3. Je, tuna uhakika kwamba majaji wanachaguliwa kwa kuzingatia uwezo na sio utamaduni?
4. Je, haki hasa za wanawake zitazingatiwa vipi kama hatuna uwakilishi wa majaji wanawake.
5. Je, kama kuna mapungufu yapo kwa wanasheria wetu wanawake ni yapi na kuna vitu gani tunafanya kutatua hayo mapungufu?

Mimi ni mwamini wa vipaji lakini siamini kabisa kwamba majaji wana chaguliwa kwa uwezo pekee nafikiri utamaduni dume wetu unachangia. Hizi tamaduni ndizo zinatuletea vilaza. Majaji tunatakiwa kuweka vipanga wetu tu


Nashukuru serikali na Mama kwa kunisikiliza kila nikiandika wanafanya🙏 Ingawa bado majaji ni wachache lakini mwanzo mzuri
 
Nashukuru serikali na Mama kwa kunisikiliza kila nikiandika wanafanya🙏 Ingawa bado majaji ni wachache lakini mwanzo mzuri
Kongole kwako kwa kuliwaza hili na kufanyiwa kazi japo huenda lilikuwa lipo muda mrefu kabla au limebustiwa na bandiko lako.
 
Ukienda Law School Tanzania kwenye vyuo kuna wanawake wengi wanafanya vizuri sana. Lakini hata ukienda kwenye kampuni nyingi kubwa kuna corporate lawyers wazuri sana wanawake.

Kuna majaji wengi wanaume tumeona maamuzi yao yanabatiliwa na mahakama ya rufaa. Hivyo tuna majaji wengine ambao sio makini.

Sasa sielewi kwanini kila siku wanachaguliwa majaji wanaume?

1. Je, ni kweli wanachaguliwa ndiyo wanasheria makini kuliko wote?
2. Je, ni vigezo gani hasa wanatumia kuchagua majaji
3. Je, tuna uhakika kwamba majaji wanachaguliwa kwa kuzingatia uwezo na sio utamaduni?
4. Je, haki hasa za wanawake zitazingatiwa vipi kama hatuna uwakilishi wa majaji wanawake.
5. Je, kama kuna mapungufu yapo kwa wanasheria wetu wanawake ni yapi na kuna vitu gani tunafanya kutatua hayo mapungufu?

Mimi ni mwamini wa vipaji lakini siamini kabisa kwamba majaji wana chaguliwa kwa uwezo pekee nafikiri utamaduni dume wetu unachangia. Hizi tamaduni ndizo zinatuletea vilaza. Majaji tunatakiwa kuweka vipanga wetu tu


Nashukuru Raisi Samia kwa kutusikiliza wadau wa maendeleo. Hii ni mara nyingine tena unanisikiliza na kufanya kama nilivyo pendekeza
 
Huwezi teua majaji kwa kuzingatia jinsia badala ya vigezo stahiki haya ndo baadaye tunakuja kuweka mijadala humu maamuzi ya jaji msomi wa sheria Yana mshangaza hata mtu aliye ishia darasa la Saba.

Mmepewa nafasi ya juu kabisa katika taifa lakini mpaka Sasa imethibitika pasi kuacha shaka kabisa kuwa mna uwezo mdogo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukienda Law School Tanzania kwenye vyuo kuna wanawake wengi wanafanya vizuri sana. Lakini hata ukienda kwenye kampuni nyingi kubwa kuna corporate lawyers wazuri sana wanawake.

Kuna majaji wengi wanaume tumeona maamuzi yao yanabatiliwa na mahakama ya rufaa. Hivyo tuna majaji wengine ambao sio makini.

Sasa sielewi kwanini kila siku wanachaguliwa majaji wanaume?

1. Je, ni kweli wanachaguliwa ndiyo wanasheria makini kuliko wote?
2. Je, ni vigezo gani hasa wanatumia kuchagua majaji
3. Je, tuna uhakika kwamba majaji wanachaguliwa kwa kuzingatia uwezo na sio utamaduni?
4. Je, haki hasa za wanawake zitazingatiwa vipi kama hatuna uwakilishi wa majaji wanawake.
5. Je, kama kuna mapungufu yapo kwa wanasheria wetu wanawake ni yapi na kuna vitu gani tunafanya kutatua hayo mapungufu?

Mimi ni mwamini wa vipaji lakini siamini kabisa kwamba majaji wana chaguliwa kwa uwezo pekee nafikiri utamaduni dume wetu unachangia. Hizi tamaduni ndizo zinatuletea vilaza. Majaji tunatakiwa kuweka vipanga wetu tu
Pascal Mayalla hii hoja ya ndugu yetu imebase kwenye negativity zaidi hasa anapohusisha suala la Taaluma, weledi na utendaji dhidi ya jinsia hizi qaswida za usawa wa jinsia hazipaswi kutolea ili kupofusha ni lini Mamlaka ya uteuzi ifanye maamuzi yakukusudia kuridhisha kundi flani? Ndio yaleyale ya "Takwimu za waumini wa dini yakikristo hazihitajiki kwasababu serikali haina nia ya kujenga makanisa"
 
Back
Top Bottom