Je ni kwanini Aridhi (Soil)sio kiumbe hai?

Je ni kwanini Aridhi (Soil)sio kiumbe hai?

Kwa sababu ndio vilikuwa vya mwanzo kuumbwa. Na lengo la Mungu ni kuweka uhai juu ya ardhi.
Kitabu cha Mwanzo. Hapo mwanzo Mungu aliumba Mbingu na nchi. Hii maana yake ni kwamba aliumba nchi ili aweke vitu vyenye uhai. Na kwa tafsiri ni kuwa baada ya kuumba mbingu na nchi Mungu alitulia kwa muda ndio akaanza kuumba vitu vingine.
Ardhi ,udongo,au au "soil" ni hai
 
Back
Top Bottom