Je ni kwanini Aridhi (Soil)sio kiumbe hai?

Je ni kwanini Aridhi (Soil)sio kiumbe hai?

Majibu yapo kwenye Baiyolojia ya kidato cha kwanza - haina sifa za viumbe hai ambazo ni:
• Movement
• Nutrition
• Respiration
• Excretion
• Growth and development
• Sensitivity
• Homeostasis
• Death, n.k.
Kwa elimu hizi ndogondogo,zinasema hivyo lakini kwa Elimu ya juu TUNASEMA ARDHI NI KIUMBE HAI.
 
Ardhi inaweza kuwa Hai
Yaani ina uhai kutokana na diversity ya viumbe hai kwenye udongo..., yaani a healthy soil (kuna Fungi, Bacteria, earthworms n.k.)

Ila Ardhi sio Kiumbe Hai Kuwa na Uhai sio lazima uwe kiumbe Hai...,

Je Ardhi ina hizi characterisitics zote:-
  • Cells and DNA. All living creatures consist of cells. ...
  • Metabolic Action. ...
  • Internal Environment Changes. ...
  • Living Organisms Grow. ...
  • The Art of Reproduction. ...
  • Ability to Adapt. ...
  • Ability to Interact. ...
  • The Process of Respiration.
 
Kwa mujibu wa sayansi ardhi haina uhai, ila kwetu sisi tulio kiimani zaidi, ardhi inauhai. Haiwezekani izalishe vilivyo na uhai halafu yenyewe isiwe na uhai kumbuka uhai unatoka kwenye uhai
 
Wanajukwaa Salam,
Ningekua nikfikilia hili Jambo kwa muda mrefu Sana.

Aridhi kwa ufupi ndiyo inawwzesha maisha ya viumbe vyote hai duniani kuwepo.Mimea ambayo ndiyo chanzo Kikiuu Cha chakula inaota kwenye Aridhi .kwa vyovyote Aridhi ndo chanzo Cha uhai kwa viumbe vyote duniani.

Sifa za Aridhi ni kama zile za viumbe hai pia.
Aridhi anazaliwa ,inakua na vilevile inakufa (soil development)

Sasa inakuaje kitu kinachosaidia viumbe kuwa hai chenyewe kisiwe hai?
Mimea yote inaota kwenye Aridhi na ndiyo chanzo Cha KIKUU Cha kuwezesha maisha ya viumbe vyote viwepo duniani.The source of food for all living things.

Samahanini mwandiko wangu n mbovu lakini ujumbe umefika naomba mchango wenu hasa watalamu wa Geography na Biology.
Elimu yetu duniani bado ndogo sana na ndiyo maana inashindwa kutambua kwamba ardhi ni kiumbe hai, wataalamu wanashindwa hata kufikiria inakuwaje chini ya ardhi kuna viumbe hai vinaishi, inawezekanaje hivyo viumbe viishi pasipokuwa na uhai? Yani elimu hii jinsi ilivyo ndogo inashindwa hata kujua kwamba ardhi inakuwa mana km haikuwi je nyufa katika nyumba zinasababishwa na nn?

Elimu hii ya dunia ilivyo ndogo inashindwa hata kutambua kwamba hewa pia ni kiumbe hai mana km hewa isingekuwa na uhai ingewezekana vipi sisi wanadamu tuvute kitu kisicho na uhai zen tukaendelea kushi?

Kuna vitu vingi tu vyenye uhai lkn elimu hii ndogo ya dunia yetu imeshindwa kutambua, mfano elimu imeshindwa kutambua kwamba maisha nayo yanaishi, yani imeshindwa kujua kwamba maisha pia ni kitu chenye uhai, kama maisha hayana uhai mbn yana mwisho? Elimu yetu ya dunia bado ndogo sana ndio maana mpk leo dunia ina maendeleo madogo sn, eti mpk leo duniani binadamu tunatumia masaa mengi kutoka bara moja kwenda lingine daahhh.
 
Elimu yetu duniani bado ndogo sana na ndiyo maana inashindwa kutambua kwamba ardhi ni kiumbe hai, wataalamu wanashindwa hata kufikiria inakuwaje chini ya ardhi kuna viumbe hai vinaishi, inawezekanaje hivyo viumbe viishi pasipokuwa na uhai? Yani elimu hii jinsi ilivyo ndogo inashindwa hata kujua kwamba ardhi inakuwa mana km haikuwi je nyufa katika nyumba zinasababishwa na nn?

Elimu hii ya dunia ilivyo ndogo inashindwa hata kutambua kwamba hewa pia ni kiumbe hai mana km hewa isingekuwa na uhai ingewezekana vipi sisi wanadamu tuvute kitu kisicho na uhai zen tukaendelea kushi?

Kuna vitu vingi tu vyenye uhai lkn elimu hii ndogo ya dunia yetu imeshindwa kutambua, mfano elimu imeshindwa kutambua kwamba maisha nayo yanaishi, yani imeshindwa kujua kwamba maisha pia ni kitu chenye uhai, kama maisha hayana uhai mbn yana mwisho? Elimu yetu ya dunia bado ndogo sana ndio maana mpk leo dunia ina maendeleo madogo sn, eti mpk leo duniani binadamu tunatumia masaa mengi kutoka bara moja kwenda lingine daahhh.
Mwanangu unavyoongea km unatokea sayari nyingine

Sent from my Redmi 7 using JamiiForums mobile app
 
Hao walio define living thing(wanasayansi) waliweka mipaka katatika maana zao ndio maana unaona kwa udongo wamepwaya... wewe tafsiri kivako tu na maisha yataendelea... mfano alietenganisha huyu mnyama huyu ndege aliweka sifa zake ila popo kaingia kotekote, kunamambo ukienda kisayansi yanamipaka... kwahyo niwewe mwenyewe kujiongeza.... hujafungiwa hapo kwenye maana moja ya mtu...
 
Mungu alipulizia pumzi yake kwenyen dongo aliloli finyangwa tayari!! l so ikawa nafsi hai! hilo dongo! lkn huyo huyo mtu hai akifa ile pumzi ya Mungu inatoka kabisaaa! inarudi kwake siyo udongoni anakuwa zigo tu hapo na ukimuacha hapo ataoza hivihivi!

sasa utasemaje kuwa ina uhai? wkt inabeba wafu! uhai umerudi ulikotoka! angekufa hai sawa! ardhi ni km kabati tu la kuhifadhia chakula cha viumbe hai! hautuwezi kupiga nayo song!

vinavyokwenda huko havina uhai!! na ndo vinatengeneza udongo!.......haiongei! labda tuseme ina oxygen, co2 na minerals kibao ivi ni vya kulisha mwili ili uendelee kuwepo!
 
Majibu yapo kwenye Baiyolojia ya kidato cha kwanza - haina sifa za viumbe hai ambazo ni:
• Movement
• Nutrition
• Respiration
• Excretion
• Growth and development
• Sensitivity
• Homeostasis
• Death, n.k.
Mkuu Ardhi inavyo hivyo vitu..
Kiufupi kuna siri nyingi sisi viumbe vya Mungu tumepewa ila hatuvioni...
Ogopa umemdhulumu mtu kisha akasema.. basi sawa kwa uliyonitendea akaondoka... Ardhi kiufupi inasikia pia
 
Unajuaje? Unafikiri bakteria wanaoishi kwenye miili yetu wanatutambua kama sisi ni viumbe hai?

Utashangaa hii dunia ni kiumbe hai ambacho chakula chake ni mwanga wa jua.
 
Mkuu Ardhi inavyo hivyo vitu..
Kiufupi kuna siri nyingi sisi viumbe vya Mungu tumepewa ila hatuvioni...
Ogopa umemdhulumu mtu kisha akasema.. basi sawa kwa uliyonitendea akaondoka... Ardhi kiufupi inasikia pia
Kati hakuna kitu, kati ya nilivyovitaja, ambayo ardhi inaweza kukifanya on its own, mkuu.
 
Kati hakuna kitu, kati ya nilivyovitaja, ambayo ardhi inaweza kukifanya on its own, mkuu.
Sawa mkuu...
Mfano Respiration? Au Growth? Movement?
Movement Ardhi inafanya hatuwezi kuona kwa macho.. We are part of its movements.. .. Hata wakati mwingine ardhi hupasuka na kwenda sehemu nyingine in billions years time...
Respiration ardhi inafanya sana.. Kuna movement ya hewa ndani na nje tuu..
Growth.. Ipo mkuu.... Kuna matabaka yanajengeka juu ya ardhi kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa..
Kuna miinuko inatokea.. Kuna wakati mwingine milima inatokea kwenye tabaka la ardhi nk.. Hii mifumo haitokei kama binadamu anavyokua
 
Dunia yenyewe ni kiumbe hai , ukifanya uharibifu wowote kwa kiwango kikubwa, hata kuhatarisha uhai wake , huwa ina tabia ya kujitetea kwa vimbunga , magonjwa na disaster yoyote ili kubance mifumo yake.
 
Kwa sababu ndio vilikuwa vya mwanzo kuumbwa. Na lengo la Mungu ni kuweka uhai juu ya ardhi.
Kitabu cha Mwanzo. Hapo mwanzo Mungu aliumba Mbingu na nchi. Hii maana yake ni kwamba aliumba nchi ili aweke vitu vyenye uhai. Na kwa tafsiri ni kuwa baada ya kuumba mbingu na nchi Mungu alitulia kwa muda ndio akaanza kuumba vitu vingine.
Hii nayo ni aina ya ugonjwa wa akili.... Unaweza ukajibia biblia mtihani wa Geography au Biology!!??
 
Aridhi ni kiumbe Hai, mabadiriko ya kijografia, tabia ya nchi au mazingira yanaweza kuifanya ardhi kufa au kuhuika.
Wakati wa kongamano la mabadiliko ya tabia nchi COP26, makamu wa rais mstaafu wa marekani JOHN KERRY alisema hivi namnukuu. "This is not a DISCRETIONARY THING, THIS IS SCIENCE, THIS IS PHYSICS, THIS IS MATH THAT DICTATES THE WORLD THAT WE TRAVEL. anaeweza kuchambua na achambue. Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom