Sijui bht kaona hiyo bold hapo? Manake kabishiiiii! MJ! umekula Senksi hapo!
hehehe!mtashangaa sana mwaka huu, kwanza haki ziko mahakamani na si kitandani, upo mpaka hapo!?
nitaridhika tu!..nitakuwa NIMELEWA,MI NIKIKOJOA TU BASI...MBONJI MPAKA ASUBUHI
YE NI MIHASIRA YAKE ATAJIJUA!
Mwe nisamehe mawazo yangu ni tanzania house of beauty (thb) am so sorry kwa kupindua jina lao bht mamii.
Ok apology for pairing you up with the dangerous man Xpin du kazi ipo.
Phewww
Hata kama mwenzio umemkosea? so ule msemo wa wanaogombana ni kina Geoff na Mtarajiwa wakubwa si wale wadogo ni kweli? lakini utaridhika kiwango kikiwa chini?
OK.......... nyamayao njoo upate kitchen party hapa lol
Sasa akili kichwani nakubali but utakubali kiwango cha chini? maana najua hutayapata yale manjonjo ya kubinjuka kwa raha kama wifi amekasirika!
Ndio ni njia nzuri ya kumaliza ugomvi but inakuwaga applied kama mmeshaombana msamaha flani sasa kwa vile mnakuwa mnacement ule msamaha bana. why?
Na je wewe wifi amekuudhi haswa halafu unapanda kityandani tu anaanza kudai gemu utatoa ushirikiano wakati bado una hasira?
SASA UKILIA kimila zetu tunajua ndo una mapenzi ya dhati!...Kaazi kweli kweli ningepewa wewe kama mume wangu mbona ningekuwa nalia kila siku!
greti thinka huu msimamo ni mkali kuliko wa anodi shwazinega.nikinyimwa gemu leo(let's take LEO USIKU)...!TOMORROW MORNING SHE GOES BACK HOME!.....period
naona kaisimamia kabisaaa!!!!!!!!!!!hehehe!
mzee taratibu naona unakuja ki-mcharuko,ki-mipasho...lol!ni key-board tu hizi jamani
lol!nilidhani umesema KAISIMAMISHA.....naona kaisimamia kabisaaa!!!!!!!!!!!
Halafu MJ1 umepotea kweli ulikuwa wapi? Ok turudi kwenye mada
Haiwezekani lazima kuna sababu tena kubwa tu,
Kosa la kawaida nadhani huwezi kuchukia labda ungebadilisha sentensi.
Pamoja na hayo si vema kumnyima mwenzi wako chakula cha usiku, maana ni haki ya wahusika.
mtashangaa sana mwaka huu, kwanza haki ziko mahakamani na si kitandani, upo mpaka hapo!?
sasa umenikubali bila kunigongea senksi.........?
nimekukubali mkuu.
technically, mwanmke hana ruhusa ya kunyima mzee gemu, na anatakiwa kulia hata kama haumii wakati wa gemu, ndio maisha bwana msilete mambo ya haki sawa za beijing!!!!!!!!!!!!!!
Mwe nisamehe mawazo yangu ni tanzania house of beauty (thb) am so sorry kwa kupindua jina lao bht mamii.
I will not apologize for pairing you up with the lovely man Xpin.
greti thinka huu msimamo ni mkali kuliko wa anodi shwazinega.
beki tu ze topik! mimi nitavumilia ,nitamsubiria na yeye siku yuko moto moto keshajiandaa na vijihoti poti vyake namwambia no entri tudei, navuta shuka nalala upande wa ukutani. taifa starz 0 - ivory coast 0. tunasubiri mechi ya marejeano
mimi na wewe MJ1!!!!!!!!!!! Hamna hata haja ya kuapolojaizi!!! I new wat u meant!!
hapo kwa Xpin, apology accepted!!!
back to ze topiki.....namfungia vioo mpaka tatizo liishe maana ukikubali tu ndo mwisho wa kila kitu hata lile alokuudhi huna nguvu tene ya kukonfront aaaah!!! staki bana!!
thb nakuelewa mama lakini kuna watu wanasema wanaogombana ni thb na Xpin wakubwa na si wale wadogo (unaelewa ni kina nani hapa) so hata mkubwa akuudhi vipi wadogo wakitaka kuteta basi usiwakatalie!! Mimi yalishawahinikumba yaani ugomvi mkubwa hadi ukafika kwa wazee sasa moja ya sababu alizotoa mwenzangu ni kuwa eti siku hizi namnyima ndo nikajitetea kwa point yako mama nikajibiwa hayo. Ndo mana leo nikataka kujua ukweli hasa ingawa ni miaka imepita.