FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Mfano katika Judiciary, wanaume wanalazimishwa kuvaa mawigi ili kuenzi utawala wa mkoloni. Napendekeza badala yake majaji wavae ngozi ya Simba badala ya mawigi ya kizungu, hii itasaidia kuondoa utumwa wa kichwani na kuongeza self esteem kwa vizazi vijavyo.