Je, ni haki kufanya hivi?

Je, ni haki kufanya hivi?

elias godfrey

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
35
Reaction score
6
Mimi ni kijana ambaye napenda sana watoto wazuri sema tatizo kuna baadhi ya mademu wao wanajifanya wana pozi sanaa yaani in short wana mashauzi ile mbaya.

Swali: je ni sawa mimi kujifanya mpole ili nimpate nifanye yangu then nimteme au? Maana ana mashauzi sana mpaka anaboa yaani.
 
Wewe maliza shule acha kutuwekea mada nne nne zisizoeleweka.
 
Me ni kijana ambaye napenda sana watoto wazuri sema tatizo kuna baadhi ya mademu wao wanajifanya wanapozi sanaa yaani in short wana mashauzi ile mbaya swali je ni sawa mm kujifanya mpole ili nimpate nifanye yngu then nimteme au? Maana ana mashauzi sana mpaka anaboa yaani

Una umri gani?
 
hi haki kabisa maanake inaonekana hata wewe mwenyewe hujielewi!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hahhahahahaha wapenda watoto wazuli eeeeh. Vizuri garama wewe sio unakurupuka
 
Unaposema 'Je ni HAKI' au 'Je ni SAWA' unataka kumaanisha nini aisee? Haki na sawa kwa nani? na ili iwe haki iweje na ili iwe sawa iweje, Tukishajua hilo tutaweza kukusaidia tujue unachotaka kufanya ni haki au sawa?

Mimi ni kijana ambaye napenda sana watoto wazuri sema tatizo kuna baadhi ya mademu wao wanajifanya wana pozi sanaa yaani in short wana mashauzi ile mbaya.

Swali: je ni sawa mimi kujifanya mpole ili nimpate nifanye yngu then nimteme au? Maana ana mashauzi sana mpaka anaboa yaani.
 
Back
Top Bottom