Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

Ramli zenu chonganishi zimefeli, zinafeli na zitafeli.
Kila siku mko online kuangalia nini kinaendelea.
Hali ya nchi iko shwari. Si kila jambo lazima ulijue, mengine pita kushoto
Mlisema hakuna atakaue andamana.

Sasa hivi watu hawana aibu kuulizia bendera ya Tanganyika... mtashtuka kumekucha
 
Hao watoto itakua wanatokea military intelligence department,sasa labda swali libadilike kuwa "kwanini wanao ambatana nae wamekuwa wengi" unaweza kukuta wengine wamepenyezwa hapo na mama report kwa boss mwingine
Ndio swali langu
 
View attachment 3558046

Kuna jambo inabidi tulifatilie. Samia anafuatilia mienendo ya Jeshi au Ni suala la kukaa mguu sawa?

Wafanyakazi wa ofisi ya Rais wanaimarisha ulinzi wa Mkunda?
Domo refu kama chupa, kazi umbeya tuuuu !!! Yale yalishashindikana , subirini kama kuna jingine lakini sasa hivi hamtafanikiwa tena.Maanake hata huko kwa Mama wa demokrasia kwenyewe sasa hivi ukisema chochote hasi kwa Trump na vita vyake unaitwa mhaini. Jaribuni tena lakini sumu haionjwi !!!
 
Speculations Speculations Speculations. Hakuna jipya, mbongo mpe tu picha stori atatengeneza mwenyewe.

Wacha ninywe kwanza maji ya dafu. Nitarudi
 
Domo refu kama chupa, kazi umbeya tuuuu !!! Yale yalishashindikana , subirini kama kuna jingine lakini sasa hivi hamtafanikiwa tena.Maanake hata huko kwa Mama wa demokrasia kwenyewe sasa hivi ukisema chochote hasi kwa Trump na vita vyake unaitwa mhaini. Jaribuni tena lakini sumu haionjwi !!!
Umapanic chukua glass ya maji
 
Speculations Speculations Speculations. Hakuna jipya, mbongo mpe tu picha stori atatengeneza mwenyewe.

Wacha ninywe kwanza maji ya dafu. Nitarudi
Kama kwa uandishi huo ni kama vile ushatembelewa na "OSG"
 
P92 hapa kama ulitoka 10yrs back bado mimi senior wako na najua nachokisema, kama ulikuwa rubani mimi nipo kwnye utawala, km umefanya MI hata ya TMA tu wala sio kubwa utakua unajua haya, narudia kusema kwa muundo wa jeshi hata cdf akitaka kuasi na akawa na wafuasi wa kutosha bado atashindwa tu hata hao maaskari vijana wawe na utashi kamili unaouita hamna namna wanaweza kufanya, period

Naheshimu mawazo yako though...
Mkuu habari yako nimekuelewa maoni yako, kuna yapo nimeyakubali ila nimeenda mbele kidogo vipi ikitokea watakaogomea kuongozwa hivi na wakamkaribisha adui atoke nje nini kitafuata ? Maana ni kweli unaweza kuziba ndani ila nje na kwa namna watu walivyo na maumivu hivi hawataweza kuwaficha
 
1000192891.png


Micromanagement
 
Mkuu habari yako nimekuelewa maoni yako, kuna yapo nimeyakubali ila nimeenda mbele kidogo vipi ikitokea watakaogomea kuongozwa hivi na wakamkaribisha adui atoke nje nini kitafuata ? Maana ni kweli unaweza kuziba ndani ila nje na kwa namna watu walivyo na maumivu hivi hawataweza kuwaficha
Mkuu jeshi la Tz ni ceremonial tu la maparade na maonyesho, linakuwa jeshi rais akiamua kama anavyoamua ndani ya familia yake! Hawa unaona wanavaa vyeo tu na kufanya mafunzo nchi mbalimbali kupata per diem na posho tu! Hatuna jeshi la vita wala maafisa na askari wenye balance ya pesa hata ya kula miezi mitatu mbele so hawana uwezo wa kuasi kwa kuwa hata chakula hawana cha kutosha so ni lazima watabend kwa wanasiasa tu.

Wana mikopo hadi machoni yani wachache sana wanapata mshahara kamili mwisho wa mwezi so kila kinachotokea mbele yake anafikiria kwanza njaa itakayompiga in case kapoteza nafasi yake. Nchi zinazopinduana utakuta kwanza wanajeshi wameshiba na wana akiba ya fweza in case jaribio linafeli
 
Tungekua na jeshi dhaifu Serikali ingekuwa imeshapunduliwa na M23 tarehe 29 October 2025 ila jeshi letu lilicheza michezo wanayoipenda mwisho wa siku hata baba yao kagame akasusa kutoa pongezi kwa Dr Samia aliishia kusema anaunga mkono mapinduzi viva TPDF.
 
Tungekua na jeshi dhaifu Serikali ingekuwa imeshapunduliwa na M23 tarehe 29 October 2025 ila jeshi letu lilicheza michezo wanayoipenda mwisho wa siku hata baba yao kagame akasusa kutoa pongezi kwa Dr Samia aliishia kusema anaunga mkono mapinduzi viva TPDF.

Umejifikirisha sawasawa mkuu? Yani M23 kakikundi hako kapindue nchi yenye sqkm 950k? Critical thinking ina shida sana ndani ya vijana wa kisasa aisee, ndo maana sisiemu inakamata free lunch tu
 
Back
Top Bottom