Je ni Dhambi Halmashauri kuwa na Barua pepe?

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
332
Salam sana.
Mawasiliano ni nguzo muhimu katika ustawi na maendeleo yetu. Bahati mbaya sana Halmashaur nyingi za Wilaya na Manispaa hazina barua pepe kama nyia ya kurahisisha mawasiiano. Hiki ni kikwazo kikubwa sana kwani hupoteza muda na rasilimali nyingine kisa hakuna barua pepe. Je ni dhambi Halmashauri zetu kuwa na barua pepe ambazo ni rahisi tu kuzitengeneza kupitia mitandao?

Tuaomba wahusika watazame hili kwa jicho la ukaribu.
Wasalam.
 
Sio hilo tu, hata hizo halmashauri nyingine waliojitutumua wanatumia za yahoo na gmail!!!
 
Watumishi wa Halimashauri zetu wengi ni vihiyo kwa kuwa system yao ya ajira ime-favour sana ajira za shangazi,mjomba,rafiki nk.Ushauri wako kwao ni ni nightmare,lakini ni mzuri sana.Hivi mwenyekiti wa Halimashauri anapokuwa Form IV failure na msaidizi wake Ex-Std III unategemea nini kama ilivyo kwenye Halimashauri ya Wilaya ya Mvomero?Frankly output ya Wilaya zetu ni minimal na kuna haja ya ku-overhaul system yao ya ajiri ili kuongeza efficiency.
 
Back
Top Bottom