Elimu bure ingewaponza ninyi.....
Hesabu ya std 3 inawapiga chenga loh.
watakwambia unataka kumwaga damu za watu wewe Tanzania nchi ya amani na dunia yote inafahamu haaa haa haa haaHapa dawa ni kuyakataa haya matokeo yao tu! Hakuna namna nyingine!
Kura zilizo haribika hapo mmeziweka? Ni ngapi?Halafu sio haya tu mkuu. Pia matokeo ya Kilindi idadi ya kura za wagombea na total ya kura zinatofautiana. Swali ni kwamba nani kazidishiwa na nani kapunguziwa? ?????naanza kupata wasiwasi
Mliosoma takwimu je hizi asilimia zipo sahihi?
Kura zilizo haribika hapo mmeziweka? Ni ngapi?
Mimi faster nimeweka kwenye Excel na kupata kama ilivyo hapo chini:
[TABLE="width: 192"]
<colgroup><col width="64" span="3" style="width:48pt"> </colgroup><tbody>[TR]
[TD="width: 64"][/TD]
[TD="width: 64"]Kura[/TD]
[TD="width: 64"]Asilimia[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]594[/TD]
[TD="align: right"]1.098881[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]409[/TD]
[TD="align: right"]0.756637[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Magufuli[/TD]
[TD="align: right"]33699[/TD]
[TD="align: right"]62.34206[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lowassa[/TD]
[TD="align: right"]19017[/TD]
[TD="align: right"]35.18083[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]189[/TD]
[TD="align: right"]0.349644[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]47[/TD]
[TD="align: right"]0.086948[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]51[/TD]
[TD="align: right"]0.094348[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]49[/TD]
[TD="align: right"]0.090648[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Jumla[/TD]
[TD="align: right"]54055[/TD]
[TD="align: right"]100[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]
Hawawezi kurudi.Issue sio kura zilizoharibika bali ni discrepancies kwenye percentages kwani Dr. Magufuli ana asilimia 62.34 na Lowassa 35.18. Kama ya Lowassa hipo sahihi basi hakuna cha kura zilizoharibika hapo. Kama zimeongezwa kwa criterion ya kura zilizoaribika basa zitakuwa ni asilimia karibu 9 na kuongezewa kwa Magufuli na kufikisha hizo 71. Tazama mambo ya Excel hapa:
[TABLE="width: 192"]
<colgroup><col width="64" span="3" style="width:48pt"> </colgroup><tbody>[TR]
[TD="width: 64"][/TD]
[TD="width: 64"]Kura[/TD]
[TD="width: 64"]Asilimia[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]594[/TD]
[TD="align: right"]1.098881[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]409[/TD]
[TD="align: right"]0.756637[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Magufuli[/TD]
[TD="align: right"]33699[/TD]
[TD="align: right"]62.34206[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lowassa[/TD]
[TD="align: right"]19017[/TD]
[TD="align: right"]35.18083[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]189[/TD]
[TD="align: right"]0.349644[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]47[/TD]
[TD="align: right"]0.086948[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]51[/TD]
[TD="align: right"]0.094348[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]49[/TD]
[TD="align: right"]0.090648[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Jumla[/TD]
[TD="align: right"]54055[/TD]
[TD="align: right"]100[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]
Kura zilizo haribika hapo mmeziweka? Ni ngapi?