Je, Nelson Mandela anastahili anavyotukuzwa?

Get well soon Madiba. Hata ukimwangalia tu usoni utaona ni innocent. He is very calm smiling bila wasiwasi. Hakika upone kabisa hiyo re-curring Lung Infection
 
Sidhani kama Mandela anastahili sana sifa anazopewa na jitihada alizofanya juu ya ukombozi wa bata la Africa..Ni wiki chache zmepita ilipotelewa taarifa inayoonesha Mugabe akimponda Mandela kwamba he was too soft to whites kiasi ambacho mpaka hao weupe wachache wakimiliki njia kuu za kiuchumi huko S.A.Alishindwa kubadilishwa maisha ya watu wa Soweto ambako ndipo vuguvugu la mageuzi lilipoanzia na mpaka sasa ni miongoni mwa sehemu maskini huko S.A.Ni miaka so mingi baada ya kutoka jela ndipo USA walipomtoa katika kundi la TERRORISTS na he was banned to enter the USA soil,na hlo lilifanyka tuu baada ya kuridhiana na weupe wachache wa S.A.So,in short hana mchango wowote ktk bata la Africa kama ilivyokuwa kwa Nyerere, Nkurumah, Gaddafi ni..

samahani mkuu , hilo bata la Afrika liko sayari gani??
 
Kumsamehe alikufunga miaka 27 inahitaji ujasiri wa hali ya juu, walio wengi wanaanzia hapo kumtukuza wakiamini kua moyo wake hauna hata chembe ya visasi.
 
Sidhani kama Mandela anastahili sana sifa anazopewa na jitihada alizofanya juu ya ukombozi wa bata la Africa..Ni wiki chache zmepita ilipotelewa taarifa inayoonesha Mugabe akimponda Mandela kwamba he was too soft to whites kiasi ambacho mpaka hao weupe wachache wakimiliki njia kuu za kiuchumi huko S.A.Alishindwa kubadilishwa maisha ya watu wa Soweto ambako ndipo vuguvugu la mageuzi lilipoanzia na mpaka sasa ni miongoni mwa sehemu maskini huko S.A.Ni miaka so mingi baada ya kutoka jela ndipo USA walipomtoa katika kundi la TERRORISTS na he was banned to enter the USA soil,na hlo lilifanyka tuu baada ya kuridhiana na weupe wachache wa S.A.So,in short hana mchango wowote ktk bata la Africa kama ilivyokuwa kwa Nyerere, Nkurumah, Gaddafi ni..

Kwa Mandela kuwavumilia wazungu ndo maana wana maendeleo! Kuhusu Mugabe angalia anavyoangamiza nchi yake. Nyerere asingeingia mambo ya ujamaa na kufukuza wawekezaji nasi tungekuwa mbali sana kimaendeleo hata kama wata tajirika wachache ndo system ya utajiri na maendeleo. Well done Tata Madiba you are my role model.
 
mkuu,ingawa hana mchango kwa sana kwenye ukombozi bara la africa,huyu mzee naweza kumdeclare kuwa ni Mtakatifu wa ukweli kuliko hata wakina paul,nasikia huyu mzee huko jela wazungu hadi kumsodomize walimsodomize lakini kamwe hakufikiria kulipa kisasi,hii yote ni ktk kutaka kujenga nchi yenye ustawi bora na amani,aliangalia zaidi maslahi ya taifa kuliko yake,mungu ambariki sana
 
Mandela attaheshimika kwa kuwa aliwekwa ndani kipindi kirefu na alipopata urais alas kipindi kimoja tofauti na Nyerere mara hungatuka na baada ya Muda husema mara wazee mara vijana wamemuomba aendelee kuwa madarakani
Ni kweli kabisa ulivyosema, lakini swali LANGU ni kulinganisha MCHANGO wa Mandela na viongozi wengine kama Mwl. Nyerere katika AFRIKA kama bara ukiachia ndani ya nchi zao ili kupata picha ya Kiongozi mwenye mchango zaidi Afrika.
 
Ndugu Stroke, kwa bahati nzuri au mbaya hata mtaala uliokuwa unafundisha historia ya Afrika miaka kaka yako nasoma sio uliopo sasa. So Necta 2013 sidhani kama wana nafasi nzuri ya kucomment hapa labda kwa juhudi binafsi.
 
Kwahilo amekuwa mfano kiukweli.... Labda uhame hapo uje na hoje ya namna gani ametoa mchango kwa Bara la Afrika, na jamii ya weusi pale S.A.
 
Kaka mkuu njoo na hoja Mandela kalifanyia nini bara la Afrika ukulinganisha na mfano amabvyo Mwl. aliongoza mapambano ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika kwa HALI na RASILIMALI. Au juhudi za kuleta umoja wa Afrika zilizofanywa na Kwame Nkrumah..... Au hata mapambano ya ubepari na ukoloni mamboleo yaliyofanywa na Hayati Ghadafi...... Njoo na HOJA
 
Of course He is calm and innocent....BUT that is not the issue here..... We are discussing his contribution to Africa as a Continent by comparing him with other greats like Mwl. Nyerere and Nkrumah... Njoo tena
 
Leteni hoja!

Licha ya reconciliation Afrika Kusini na Kuwasamehe Makaburu.. yote ni SA!!!

Je kwa bara la Afrika Mandela mchango wake ni nini kuliko Nyerere au Nkurumah??

Vyombo vya Magharibi vimemkuza sana Mandela kwa maslahi yao!
 
...akifa hayo yote mabaya kwa mazuri tutayapata tu.
Hata mwalimu walimsifia sana, ila baada ya kifo chake rangi halisi za watu zimeonekana.
..inawezekana vyombo vya magharibi vinampaisha sana pia.
...ni binadamu, ana pande mbili pia.
 
Kaka kwa maneno yako sina cha kuongeza umepiga palepale kwenye point bila KONA.
 
Back
Top Bottom