Je, Nelson Mandela anastahili anavyotukuzwa?

Mandela ana heshima yeke na viongozi wengine pia wana heshima yao.Heshima ya mandela inakuja kwa yeye kukaa jela muda mrefu na kisha kuwa raisi wa kwanza wa S.A.Lakini pia kitendo cha yeye kueneza siasa ya kutobaguana Africa kusini kati ya whites na mablack.Zaidi ya hapo ni mpigania uhuru wa kawaida kama walivo akina Khwame nkuruma na akina Mugabe,kenith kaunda na akina mwalimu.
Lazima tukubali pia kuwa hata kule kueneza siasa ya kutobaguana mandela alishinikizwa na wazungu maana kulikuwa hakun jinsi.Asingeweza kusema waondoke kama kwa nchi zingine walisha wekeza kitambo na ingekuwa ngumu.
 
Kwahiyo kian Nyerere,Nkrumah,...and co...ni magamba,...huko irak kwanini hakuenda sasa....mmmmh?

.....get well soon mzee madiba.
Ulitaka kumjua Mandela zaidi na si Wengine..Kila mmoja ana sifa zake na hata wewe una sifa zako moja ni kutaka kuwajua watu in detail.
Nime like maana umesema neno kubwa sanaaa...(Get well Mandela) Jua tu ni mzee sana na tukiwa na nguvu ni miaka 70...Yeye 94...hatakuwa wa kwanza na hatakuwa wa mwisho..Mungu simama Mapenzi yako yatimizwe...
 
Mandela attaheshimika kwa kuwa aliwekwa ndani kipindi kirefu na alipopata urais alas kipindi kimoja tofauti na Nyerere mara hungatuka na baada ya Muda husema mara wazee mara vijana wamemuomba aendelee kuwa madarakani

Mkuu unaweza kutusaidia Mandela aling'atuka akiwa na umri gani, na nyerere aling'atuka akiwa na umri gani?
 
Back
Top Bottom