Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,079
- 43,565
Mkuu kaios ipotezee maana hawa jamaa hawaaminiki, inaweza kuhifadhi ama isihifadhiJe hiyo ya Kai internal memory yake inaweza kutunza msg kama 1000?
Mkuu kaios ipotezee maana hawa jamaa hawaaminiki, inaweza kuhifadhi ama isihifadhiJe hiyo ya Kai internal memory yake inaweza kutunza msg kama 1000?
Shida ya hizo XZ1 sidhani kama naweza zipata hapa mkoani nilipo, je huko Dar zinapatikana?Simu za Symbian kama E52 inakaa na chaji uhakika siku kadhaa. Pia kai os si mbaya, sema backup ya sms kwenye Kai os ina mlolongo kidogo.
Ila kama smartphone haikusumbui hio Xz1 compact ni nzuri sana, kidogo sana hakina utofauti sana na vitochi, pia inakaa sana na charge, halafu bei zake used pia ni ndogo chini ya laki 2.
Cha muhimu hakikisha tu battery health ipo poa.
Naziona dar mkuu, ila nunua kwa mtu unaemjua, maana refurb unaweza ukauziwa kimeo.Shida ya hizo XZ1 sidhani kama naweza zipata hapa mkoani nilipo, je huko Dar zinapatikana?
Zina menyu tofauti na operators hawajatoa apps za mawakala.Swali hili nilikuwa najiuliza sana, kwanini mawakala wengi wanatumia viswaswadu ?
Alafu pili, hivi huwezi kutumia App husika ( mfano app ya Airtel money, M pesa, Tigo pesa) ukiwa wakala ili urahisishe kazi ?
Mrejesho, katika pekuapekua zangu stoo nilikutana na Nokia ya zamani niliyowahi kuitelekeza inaitwa Nokia 206, nilihisi inaweza nifaa maana ina sifa ulizozisema (ina option ya backup), ila shida inayonisumbua hadi sasa ni kwamba kupata internet kwenye hii simu ni kama imeshindikana, nilienda ofisi za tigo wakafanya configuration zao ila nikibrowse napata error 005, nilienda kwa fundi ninayemuamini anasema hizo simu zinasumbuaga internet ni kama system yake ya internet haiendani na mfumo wa sasa kwahiyo hakutaka hata kuigusa. Je kuna ukweli wowote kuhusu hili ili nisiendelee kusumbuka nayo?Simu za Symbian kama E52 inakaa na chaji uhakika siku kadhaa. Pia kai os si mbaya, sema backup ya sms kwenye Kai os ina mlolongo kidogo.
Ila kama smartphone haikusumbui hio Xz1 compact ni nzuri sana, kidogo sana hakina utofauti sana na vitochi, pia inakaa sana na charge, halafu bei zake used pia ni ndogo chini ya laki 2.
Cha muhimu hakikisha tu battery health ipo poa.
Setting then connectivity then mobile data then Access point tengeneza mwenyewe manual apn hapo name andika chochote, Apn andika internet halafu save.Mrejesho, katika pekuapekua zangu stoo nilikutana na Nokia ya zamani niliyowahi kuitelekeza inaitwa Nokia 206, nilihisi inaweza nifaa maana ina sifa ulizozisema (ina option ya backup), ila shida inayonisumbua hadi sasa ni kwamba kupata internet kwenye hii simu ni kama imeshindikana, nilienda ofisi za tigo wakafanya configuration zao ila nikibrowse napata error 005, nilienda kwa fundi ninayemuamini anasema hizo simu zinasumbuaga internet ni kama system yake ya internet haiendani na mfumo wa sasa kwahiyo hakutaka hata kuigusa. Je kuna ukweli wowote kuhusu hili ili nisiendelee kusumbuka nayo?View attachment 2474629
Sema nilichoifurahia inaonesha intenal memory yake inauwezo wa kupokea msg nyingi, maana nishafanya nayo kazi siku ya 3 bila kufuta msg ila inaonesha bado inadai sana, kwahiyo hata bila backup inaweza nisaidiaSetting then connectivity then mobile data then Access point tengeneza mwenyewe manual apn hapo name andika chochote, Apn andika internet halafu save.
Sms ni 0.5kb mpaka 1kb, so mb 9 hizo zinaweza ingia sms 10,000 mpaka 20,000Sema nilichoifurahia inaonesha intenal memory yake inauwezo wa kupokea msg nyingi, maana nishafanya nayo kazi siku ya 3 bila kufuta msg ila inaonesha bado inadai sana, kwahiyo hata bila backup inaweza nisaidiaView attachment 2476156
Screpa.Asante mkuu, vipi hizo simu kwenye utunzaji wa chaji?
Smartphone zilitengenezwaza kunzia 2022 hadi leo ziko vizuri sana kwa chaji hasa makampuni yanayoeleweka kama Samsung. Yangu pamoja na kuingia Internet inatoboa siku moja na around nusu siku.Je smartphone gani ndogo inaweza kufaa kwa kazi hii, yaani inaweza kukaa na chaji muda mrefu na kuperform vizuri?
Kweli, ila keyboard ya smartphone sio rafiki kwa kazi hiiSmartphone zilitengenezwaza kunzia 2022 hadi leo ziko vizuri sana kwa chaji hasa makampuni yanayoeleweka kama Samsung. Yangu pamoja na kuingia Internet inatoboa siku moja na around nusu siku.