Naruhusiwa kunywa kilevi cha aina yoyote ile nikiwa under antibiotics dose??
Naruhusiwa kunywa kilevi cha aina yoyote ile nikiwa under antibiotics dose??
Mkuu@Tume ya katiba angalia maneno yako usije kuwatukana watu naona unakuja ju ile mbaya wajibu vizuri kiungwana usiwajibu kwa matusi au kihuni asante nakuomba samahani kama nimekukwaza Mkuu wangu.Kama alivyosema mchangiaji mmoja ANDIKA WOSIA kisha kunywa dawa na shushia kwa konyagi, wiski na hata ikiwezekana gongo.