WatesiWETU
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 106
- 245
Habarini wanajamii forum!
Kwenye Biblia imeandikwa "Usimwache Mwanamke Mchawi aishi" Kutoka 22:18.
Kwenye Familia yetu na ukoo wetu amekuwepo mwanamke mchawi na lipo wazi maana ameshakanywa sana na huwa anajitetea kuacha, ila baada ya muda anarudia na ni mtu hatari sana anasababisha majanga sana kwa ndugu na ameua ukoo unaisha sasa na kuna ushaidi maana kuna nguvu ya maombi zili mnasa akitiwa wazee akabanwa akakiri ila kila mara amekuwa akirudia.
Madhara mengine kibao kwenye familia watu wakienda kwenye maombi wanaanguka na miroho inapanda inasema huyo mama kaya tuma kumfanya mtu asizae, mwingine miroho inapanda inamtaja huyo mama kauwa watu kadha wakadha kwenye ukoo, na kweli watu hao hawapo walikufa kimzingara.. kafunga ajira za watu, kawafanya wengine vichaa.. yaan shida tupu.. je tunafanyaje??
Najiuliza je niki muondoa kwa mstari huo wa biblia nitakuwa nina kosa lolote kwa Mungu??
Kwenye Biblia imeandikwa "Usimwache Mwanamke Mchawi aishi" Kutoka 22:18.
Kwenye Familia yetu na ukoo wetu amekuwepo mwanamke mchawi na lipo wazi maana ameshakanywa sana na huwa anajitetea kuacha, ila baada ya muda anarudia na ni mtu hatari sana anasababisha majanga sana kwa ndugu na ameua ukoo unaisha sasa na kuna ushaidi maana kuna nguvu ya maombi zili mnasa akitiwa wazee akabanwa akakiri ila kila mara amekuwa akirudia.
Madhara mengine kibao kwenye familia watu wakienda kwenye maombi wanaanguka na miroho inapanda inasema huyo mama kaya tuma kumfanya mtu asizae, mwingine miroho inapanda inamtaja huyo mama kauwa watu kadha wakadha kwenye ukoo, na kweli watu hao hawapo walikufa kimzingara.. kafunga ajira za watu, kawafanya wengine vichaa.. yaan shida tupu.. je tunafanyaje??
Najiuliza je niki muondoa kwa mstari huo wa biblia nitakuwa nina kosa lolote kwa Mungu??